Malalamiko yenu nimeyasoma vizuri na mengine yanahita kujibiwa. Lakini kabla sijajibu, hebu nielezeni ni nini kipya ambacho wapinzani wamesha fanya ili niamini kweli wana nia ya kujenga taifa?
Ukisoma katiba za wapinzani, zote hazina jipya zaidi ya kukopi na kuamend katiba ya CCM chama pekee chenye uongozi bora na uwazi.
Karibuni CCM,