Karibu upate msaada na kufungiwa dripe

Karibu upate msaada na kufungiwa dripe

Twende kisasa tubadilishe mfumo wa kilimo na sisi Kama watanzania tuweze kujikwamua kwa kilimo chenye uwakika na mavuno ya uwakika,
Gharama ya ufungaji wa drip kwa hekari moja ni milioni 4 pamoja na vifaa vyake vyote.
lakini Kama unavyo vifaa kukufungia na kuku plania miundo mbinu ya shamba lako mpaka liloe na kukamilika ni milioni moja hii ni ofa kutoka kwa mafundi changamkia ofa hii isije badilika maana kila siku mambo yanabadilika. Asanthe Sana kwa uteja mwema.
1470895438929.jpg
 

Attachments

  • 1470894931473.jpg
    1470894931473.jpg
    157.1 KB · Views: 45
Twende kisasa tubadilishe mfumo wa kilimo na sisi Kama watanzania tuweze kujikwamua kwa kilimo chenye uwakika na mavuno ya uwakika,
Gharama ya ufungaji wa drip kwa hekari moja ni milioni 4 pamoja na vifaa vyake vyote.
lakini Kama unavyo vifaa kukufungia na kuku plania miundo mbinu ya shamba lako mpaka liloe na kukamilika ni milioni moja hii ni ofa kutoka kwa mafundi changamkia ofa hii isije badilika maana kila siku mambo yanabadilika. Asanthe Sana kwa uteja mwema.
View attachment 379472
Labour charge yako kwa heka 1 ni 1m?
 
Asante kwa ujinga wangu. lakini ndio maana kuna namba ya cm my friend. Na kuusu bei sijatoa kwa sababu kila MTU ana eneo lake na ukubwa wake kwa mfano nikikupa bei ya MTU Wa hekari Moja na ww unanusueka sasa siunaona inakuwa na shida lakini nitajitaidi nitoe kotesheni tofautitofauti. punguza Asira ndugu yangu.
Huoni ukitoa quotation ya heka moja kila mtu ata fit hapo?,mwenye nusu atagawa kwa nusu,vp wewe?
 
Asante nimeshatoa quotation, kazi kwenu kugawa na kunitafuta zaidi Asanthe sana.
 
Twende kisasa tubadilishe mfumo wa kilimo na sisi Kama watanzania tuweze kujikwamua kwa kilimo chenye uwakika na mavuno ya uwakika,
Gharama ya ufungaji wa drip kwa hekari moja ni milioni 4 pamoja na vifaa vyake vyote.
lakini Kama unavyo vifaa kukufungia na kuku plania miundo mbinu ya shamba lako mpaka liloe na kukamilika ni milioni moja hii ni ofa kutoka kwa mafundi changamkia ofa hii isije badilika maana kila siku mambo yanabadilika. Asanthe Sana kwa uteja mwema.
View attachment 379472
Usasa katika shamba.
 

Attachments

  • 1470919009510.jpg
    1470919009510.jpg
    129.5 KB · Views: 50
Mkuu namna ulivowasiliisha mada yako inatia shaka mambo mengi.sana. Kwanza hunaweka vitu nusu nusu, unajibu maswali kiwepesi sana. Mchanganuo.wako haujakaa sawa mkuu. Pia inaonekana gjarama zako.zipo juu sana.
 
Mkuu namna ulivowasiliisha mada yako inatia shaka mambo mengi.sana. Kwanza hunaweka vitu nusu nusu, unajibu maswali kiwepesi sana. Mchanganuo.wako haujakaa sawa mkuu. Pia inaonekana gjarama zako.zipo juu sana.
Gharama kuwa juu inakufundisha nn katika hakili yako kaka, kwa mfano ukinunua cm ya Samsung aina ya s2 yakichina na s2 iliotengenezwa Korea bei zake zitakuwa very tofauti na utajua yenye ubora ni ipi nadhani umepata majibu nashukuru kwa comment yako.
 
Sio kwamba ni gharama hapana ni hali ya kazi hilivyo kwa mfano nikikufanyia kazi ovyo ovyo utanung'unika alafu utapata asara, na mm nauakika na kazi yangu kuanzia plan ya miundo mbinu ya shamba lako mpaka shamba li loe tunaachana, nashukuru kwa kunielewa.
 
Kilimo cha drip chochote unalima kama vile mboga.
Hii ni test ya nyanya na mnafu, kwa jia ya kisasa tazama uone na mpendwa usitazame tuu Bali jaribu tuu japo kidogo alafu uone manufaa yake.
Kwa mfano unaweza anza na heka moja alafu ukaangalia ufanisi wake Asanthe barikiwa.
 

Attachments

  • 1471460071396.jpg
    1471460071396.jpg
    110.8 KB · Views: 56
Mavuno mengi kwa usasa zaidi, twende kwa teknolojia. Kunafaida nyingi tukilima kwa mfumo huu, na ukiingia ndio utaamini na kuona nini kilichoka ndani.
 

Attachments

  • 1475219774578.jpg
    1475219774578.jpg
    131.5 KB · Views: 55
acheni uvivu fungeni wenyewe haizid laki 8 kwa heka
 
Twende kisasa hapo ni jinsi gani ukulima wa kisasa unamnufaisha mkulima.
 
Hii nchi bwana,SUA MIAKA YOTE hawakuwa na mawazo kama haya ,mie nimeona mara nyingi ni mpira unatoborewa kila eneo lakini unatakiwa uwe imara ili usiharibike.sasa hapo kunabufundi?tafuta kubarua wa kuunga connector za bomba tu.
 
Wanao jua hawa sumbuki ww ukiweza kufanya hivyo nivema pia utaweza kuwasaidia Watanzania kwa njia ya kawaida ila iwe yauwakika Asanthe kwa wazo lako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom