Karibu upate msaada na kufungiwa dripe

Karibu upate msaada na kufungiwa dripe

napo kupa utangulizi inamaana kuna Mambo makubwa ambayo kwa utu bila asira uwelewe tuu, Ndio maana kuna namba ya cm Lengo si bei tuu bali tunataka kukupa pia na ushauri unapo funga sii tuu kuchukua pesa ya mtuu ila aridhike mwenyewe.Ndiomaana ya namba ya cm sio kilakitu tuta zungumza kwa mtandao ASANTE kwa uwelewa.
 
Hapo niuandaaji washamba lako wakati unataka kulima zao ulio plan kupanda. Garama yakuandaa shamba inashuka kwa kiwango kikubwa maana unatafuta tuu watu wakulimia matuta yako na kuyainua tofauti nakulima kwa kawaida lazima ungeleta trekta tena lakini ulimaji wa dripe unapunguza garama.

kwa mfano hiyo picha inaonesha jinsi shamba linavyo andaliwa na dripe zimekunjwa vizuri bila kuaribika naunaweza kutumia utaalamu ata mpaka mika mitatu ndio uje kupitisha trekta na kutengeneza kama hivi na hata zaidi ya mika mitatu na mpaka hiyo miaka kwisha garama zime rudi na faidi.na.dripe unazo. Twende kisasa sasa na kiuchumi zaidi.
 

Attachments

  • 1465922839171.jpg
    1465922839171.jpg
    154.5 KB · Views: 63
dripe kwa hektari moja inategemea na unaitaji single line.au dable kama ni single itagarimu roller mbili na kama ni duble itagarimu roller 4 kwa maelekezo zaidi namba hizo hapo juu.
Haya bana
 
Jamaa amegoma kutoa mchanganuo wa bei.
Au hawezi kutoa business profile ili tufanye reference kwa liowafanyia kazi.

Anataka kila mteja apigwe bei yake (huyu laki 5, huyu milioni 2) kwa factors zile zile.
Hizi biashara za Kiswahili.
Ok.mpaka kesho.nitato kotesheni ya heka moja kuanzia matirio mpaka kufunga jumla inagarimu kiasi gani stay turn asante kwa hiko.
 
Kazi hii hapa na unafanya kwa uakika sana kwa nn kulima kwa mashaka angalia hapo alafu namba zipo hapo tuwasiliane tujuzana tushauriane karibu.

utapata kila msaada unao taka katka sekta hii Asante una subiri nn.
 

Attachments

  • 1467911838522.jpg
    1467911838522.jpg
    130.3 KB · Views: 53
  • 1467911882850.jpg
    1467911882850.jpg
    127.2 KB · Views: 51
  • 1467911921595.jpg
    1467911921595.jpg
    140.1 KB · Views: 55
Kwa mfano unaona kuna kilimo cha drip na cha kawaida.

kwa nn nime post picha mbili tofauti LENGO ni kukuonesha kuwa unyeshaji wakawaida ambao sio wa drip unagarimu kiasi kikubwa cha garama.
1 kwa mfano wakati unapo nyesha unatumia maji mengi sana kwa nn, unanyesha pia na maeneo abayo ujapanda ndio tatizo moja wapo la unyeshaji wakawaida.
2 wakati wa kuweka mbolea unapunguza garama kama unatumia unyeshaji wa drip kwa maana ni mashine inasaplay mbolea kwa kuikoroga kwa maji kwaiyo inakwenda mojakwamoja kwenye mmea bila wasiwasi, bilakutumia mtu kuwekea mmea kwa mmea

kama kwa kilimo cha kuwaida,kwa mfano kama unalima kawaida utatoa pesa ya kuweka mbolea lakini kama ni drip utatumia ile pesa ulio kuwa unatumia mwanzo kuwekea mbolea kuongeza petroli kwa jenereta yako kwa ajili ya unyeshaji.

hizo nifaida chache tuu ambozo nimependa kukuambia leo na nyingi zipo, namba ya cm hiyo hapo kwa mengi nitafute Asante.


voda ni 0768416322

Eartel ni 0784735133. Asante sana.
 
Faida nyingine ya kutumia drip, inabajeti mbolea sana japo mbelea zake zina bei ila upotezi ovyo na niuwakika.

Kwa mfano unaweza tumia kg 25 ya map kwa kuanzia wiki 2 baada ya wiki tatu za mwanzo kutoka siku ulio panda, alafu bila kwisha kutokana na kipimo utakacho tumia kila siku au kila wiki mara moja alafu ukaanza changanya mbolea ukanunua nitrabo kg 25 na labda yurea kg 10 sasa bei zaizi mbolea kutoa yurea, inategemea na duka unalo nunua unaweza kuta kwa mfano Map bei yake Tsh 90000, au 80000, mpaka 70000. Zina bei maana zina nguvu sana lakini ufanisi wake kweli ni mzuri.
 

Attachments

  • 1468948765533.jpg
    1468948765533.jpg
    115 KB · Views: 51
Hiyo picha inaonesha jinsi mbolea unavyo tumia Putin's mtoni au kisimani kwa maelezo zaidi kuusu mbolea namba zipo hapo utanitafuta Asanteni.
 
Alafu ww mleta mada ni choko sana ww..
Sijui unatafuta kuolewa au vip!!
watu kila siku wsnakuomba utoe mchanganuo wa gharama hutaki kutoa, stupid ww..
 
Asante kwa ujinga wangu. lakini ndio maana kuna namba ya cm my friend. Na kuusu bei sijatoa kwa sababu kila MTU ana eneo lake na ukubwa wake kwa mfano nikikupa bei ya MTU Wa hekari Moja na ww unanusueka sasa siunaona inakuwa na shida lakini nitajitaidi nitoe kotesheni tofautitofauti. punguza Asira ndugu yangu.
 
Ukiangalia hizo picha ziko mbili tofauti ya kwanza inaonesha kupauka lakini ya pili inaonesha black green. Hii ya pili ilikuwa imeshawekwa map kwa Mara mbili kwa wiki ikiwa na week ya tano ilichelweshwa. Lengo niuone kazi ya hizi mbolea kwa utedaji wakisasa wa kutumia drip.
unasubiri nn tuwasiliane uanze shika pesa kwa kilimo cha kisasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom