sirajj johnn
JF-Expert Member
- Apr 5, 2017
- 1,502
- 839
- Thread starter
- #261
Hizi sio tiles ni tanga stone
Hizi tiles sqm moja bei gani?
Hizi tiles sqm moja bei gani?
Mna supply, how much sqm?Hizi sio tiles ni tanga stone
Kiongoz nyumba km hii inagharimu sh ngap ?Karibuni Sana REALMEESTATE Kwa huduma bora za ujenzi tunazingatia quality materials na zinazoendana na wakati
View attachment 1127850
Hiyo 98m mkuu karibuKiongoz nyumba km hii inagharimu sh ngap ?
Kama hivi sasaJenga nyumba yako na realme estate kwa gharama nafuu
View attachment 1203724
Mkuu hapo inategemea na mteja anavutiwa na kipi kuna mwingine anavutiwa na tanga stone mwingine tiles kwa hiyo uchaguzi uko kwa mtejaKati ya tiles na tanga stone kwenye msingi kipi ni bora zaidi na chenye mvuto zaidi,
Bei gani? Sqm ngapi?Jenga nyumba yako na realme estate kwa gharama nafuu yenye mafundi wenye weledi na walio bobea katika maswala ya ujenzi bora wa nyumba
View attachment 1159831
Tunauza kwa kimoja 22,200 karibu sana mkuuBei gani? Sqm ngapi?
Kimoja kina sqm ngapi? Kimoja kinini? Kibox?Tunauza kwa kimoja 22,200 karibu sana mkuu
Kwenye beam wametumia nini? Bei gani?Jenga nyumba yako na realme estate kwa gharama nafuu
Piga 0766195115
Email:sirajimsilanga@gmail.comView attachment 1210821
Na maanisha hiyo mosaic piece moja mkuu karibu sanaKimoja kina sqm ngapi? Kimoja kinini? Kibox?
Duh sasa ukuta mzima si itakuwa mamilioni?Na maanisha hiyo mosaic piece moja mkuu karibu sana
Duh sasa ukuta mzima si itakuwa mamilioni?
Jenga nyumba yako na realme estate kwa gharama nafuu kabisa
View attachment 1191032
Jenga nyumba yako na realme estate jwa gharama nafuu kabisa
View attachment 1199374