Mtu mbalimbali
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 887
- 1,633
Habari za muda wanajukwaa, poleni na majukumu
Tanzania tumekuwa na uhaba wa wafanyakazi wengi wazawa katika fani ya aviation na pilot kwa ujumla kutokana na changamoto mbalimbali hasa za kiuchumi katika familia zetu.
Mimi ni kijana wa miaka 20
Nina matarajio ya kuwa rubani na imekuwa ndoto yangu tangu nilipokuwa mdogo lakini ninakumbana na matatizo fulani hasa ya kifedha ambayo huwa yananikatisha tamaa ya kufikia malengo yangu hivyo naomba kuuliza kama naweza kupata sponsorship au scholarship kutoka ndani au hata nje ya nchi kwa masomo ya shule ya urubani ambapo nitapata ujuzi wangu kuhusu usafiri wa anga
Ni imani yangu na natumain naweza kupata msaada kupitia Jamii forums
Kwa namna moja au nyingine ili niweze kufikia malengo yangu kwa hivyo mwenye ujuzi wowote juu ya aviation tafadhali naomba anipe muongozo wa namna ya kupata ufadhili wa kusoma katika flight schools.
asante
Tanzania tumekuwa na uhaba wa wafanyakazi wengi wazawa katika fani ya aviation na pilot kwa ujumla kutokana na changamoto mbalimbali hasa za kiuchumi katika familia zetu.
Mimi ni kijana wa miaka 20
Nina matarajio ya kuwa rubani na imekuwa ndoto yangu tangu nilipokuwa mdogo lakini ninakumbana na matatizo fulani hasa ya kifedha ambayo huwa yananikatisha tamaa ya kufikia malengo yangu hivyo naomba kuuliza kama naweza kupata sponsorship au scholarship kutoka ndani au hata nje ya nchi kwa masomo ya shule ya urubani ambapo nitapata ujuzi wangu kuhusu usafiri wa anga
Ni imani yangu na natumain naweza kupata msaada kupitia Jamii forums
Kwa namna moja au nyingine ili niweze kufikia malengo yangu kwa hivyo mwenye ujuzi wowote juu ya aviation tafadhali naomba anipe muongozo wa namna ya kupata ufadhili wa kusoma katika flight schools.
asante
