Mimi ndio nitakukamataKutabiri mechi kama hii ni kuwaste time, lengo kubwa la hii mechi sio kutafuta bingwa kati ya hizi team mbili hivyo hakuna atakayecheza kiushindani.
Nimejipanga kwenda kumvuta shati runi uwanjani, jiandae kuniona.
ila tayari nitakuwa maarufu.Mimi ndio nitakukamata
Wakati huo uko ndaniila tayari nitakuwa maarufu.
Hata sasa hivi nipo ndani,naangalia tv na my wife wangu.Wakati huo uko ndani
Muage kabisa mana utakuwa peke yakoHata sasa hivi nipo ndani,naangalia tv na my wife wangu.
Haitaisha tutasubiri mwakaniSasa hivyo hamu itaishaje?
Mimi ndio nitakukamata
Hapana Mkuu, hii ndiyo timu pekee iliyoshinda mechi zake zote bila kupiga matuta.
Michuano hii iliyoanza Juni 5, ilishirikisha timu nane, nyingine Nakuru All Stars, Tusker FC za Kenya pia, Jang’ombe Boys ya Kenya, Yanga, Simba za Dar es Salaam na Singida United ya Singida.
Yanga ni timu pekee ya Tanzania iliyofika Nusu Fainali na kutolewa kwa mikwaju ya penalti 4-2 na AFC Leopards baada ya sare ya 0-0 ndani ya dakika 90.
Jang’ombe Boys ililambwa 2-0 na Gor Mahia katika mchezo wa kwanza, wakati Singida ilitolewa kwa penalti 5-4 na Leopards na Simba ilitupwa nje kwa penalti 5-4 na Nakuru All Stars.
Michuano hiyo mwakani itafanyika Kenya.