Silas Furniture
JF-Expert Member
- Apr 29, 2018
- 246
- 137
- Thread starter
- #161
Sameheni camera
WhatsApp or Call 0622273802
WhatsApp or Call 0622273802
Habari yako PrincessAnne, ya kwanza hiyo ni 200,000, ya pili ni 400,000Nahitaji shelves kama hizi inaweza kugharimu pesa ngapi kila mojaView attachment 791331View attachment 791330
Weka beiAnother one View attachment 791943
Habari yako Clarity, hiyo ni 140,000Weka bei
Asante tutawasilianaHabari yako Clarity, hiyo ni 140,000
karibu sanaAsante tutawasiliana
Kabati la nguo, almost doneView attachment 793259
350,000Ukiweka na bei itapendeza zaidi..
Wabongo bwana hadharaniWeka bei yake
Chongeni huko huko mikoani mwenu hivi ni kwa ajili ya watu wa Daslam pekee.Wa mikoani mnatusaidiaje?
Habari yako mkuu, bidhaa sio kwaajil ya watu wa dsm pekee, bidhaa zetu zinafika popote Tanzania kwasasa, Mungu akijaalia tutavuka mipaka piaChongeni huko huko mikoani mwenu hivi ni kwa ajili ya watu wa Daslam pekee.