Karibu kwenye ujasiriamali

Karibu kwenye ujasiriamali

Chemwali

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2011
Posts
397
Reaction score
178
Habari wandugu,
NIna mashine ya kutengeneza Popocorns...ni ya Gesi,,mpya iliwahi tumika kwa majaribio tu.Nilinunua some months ago mpya ina manual na receipt yake..my intention was niwe naifanyia biashara kwenye sehemu za michezo ya watoto nk..Bahati mbaya nikakosa kijana niliyemtaraji na bahati mbaya nafasi yangu binafsi inanibana nashindwa kuianzisha ...
NIlishafanya research ya maeneo yanayoweza kuuza sana na nikagundua ukiwa serious huwezi kosa laki 3 kwa mwezi as minimum.
Faida ya mashine ya Gas ni hupati usumbufu wa umeme unaokatika katika..na pia u r free kufanya biashara anywhere haijalishi barabarani as nilitengenezea na basikeli yake pia..au hupati shida na kuchangia luku kama zilivyo za umeme kama utaiweka karibu na biashara ya mtu.
Aliye serious ani PM ili tuwasiliane
 
Habari wandugu,
NIna mashine ya kutengeneza Popocorns...ni ya Gesi,,mpya iliwahi tumika kwa majaribio tu.Nilinunua some months ago mpya ina manual na receipt yake..my intention was niwe naifanyia biashara kwenye sehemu za michezo ya watoto nk..Bahati mbaya nikakosa kijana niliyemtaraji na bahati mbaya nafasi yangu binafsi inanibana nashindwa kuianzisha ...
NIlishafanya research ya maeneo yanayoweza kuuza sana na nikagundua ukiwa serious huwezi kosa laki 3 kwa mwezi as minimum.
Faida ya mashine ya Gas ni hupati usumbufu wa umeme unaokatika katika..na pia u r free kufanya biashara anywhere haijalishi barabarani as nilitengenezea na basikeli yake pia..au hupati shida na kuchangia luku kama zilivyo za umeme kama utaiweka karibu na biashara ya mtu.
Aliye serious ani PM ili tuwasiliane
Kwa hiyo unatafuta partner au unaiuza??
 
OOh POle nimeandika kwa haraka.Vyovyote itakavyokuwa kama ni partnership au kuiuza cause sipendi ikae iddle..tho partnership ningeipenda zaidi
 
Weka picha
HUtapata Picha kamili cause nimeiweka separate,,mashine nimeihifadhi kwenye safe place ...maiskeli nimeiweka stoo nje..vioo vya fremu nimeweka stoo...gas nimeiweka jikoni inatumika,,,ndiyo maana nasema kwa sliye serious tuwasiliane nitauelewa usirias wake pale tutapoongea
 
Habari wandugu,
NIna mashine ya kutengeneza Popocorns...ni ya Gesi,,mpya iliwahi tumika kwa majaribio tu.Nilinunua some months ago mpya ina manual na receipt yake..my intention was niwe naifanyia biashara kwenye sehemu za michezo ya watoto nk..Bahati mbaya nikakosa kijana niliyemtaraji na bahati mbaya nafasi yangu binafsi inanibana nashindwa kuianzisha ...
NIlishafanya research ya maeneo yanayoweza kuuza sana na nikagundua ukiwa serious huwezi kosa laki 3 kwa mwezi as minimum.
Faida ya mashine ya Gas ni hupati usumbufu wa umeme unaokatika katika..na pia u r free kufanya biashara anywhere haijalishi barabarani as nilitengenezea na basikeli yake pia..au hupati shida na kuchangia luku kama zilivyo za umeme kama utaiweka karibu na biashara ya mtu.
Aliye serious ani PM ili tuwasiliane
Weka namba yako nikupugie.
 
Back
Top Bottom