Karibu Happiness Massage Clinic

Karibu Happiness Massage Clinic

Mnayo body to body massage? Hiyi ndio naipendega.!..na je nachagua wa kunjfanyia hiyo huduma?.!
 
Hauna kisa chichote kuhusiana na hii kitu?kilichokupata ukiwa kwa puttin?
nnavyo kibao.. kule ni biashara mbayo imehalalishwa. nimesha risk sana maisha yangu kwenda kwenye mitaa mbayo mtu mweusi haakiwi kufika na nilikuwa nafuata tu huduma zao.
 
19553952_481443138874057_4031825016746438888_n.jpg

mkuu bora akuweke reception yake tu kama bado hujaajiriwa, umetishaaaaaaa
 
nnavyo kibao.. kule ni biashara mbayo imehalalishwa. nimesha risk sana maisha yangu kwenda kwenye mitaa mbayo mtu mweusi haakiwi kufika na nilikuwa nafuata tu huduma zao.
Sasa mkuu hvyo vimbwanga vyako utaanza kuvisimulia lini hapa jamvini nasi tupate uhondo?
 
Samahani Happiness, hiyo LAMADA HOTEL iko Kigoma, Singida, Lindi, Simiyu, Pemba, Mara au mkoa upi?
hivi una maanisha nini unaposema tatizo sio shetani tutoe zaka? unajua zaka ni kazi sana kutoa? tena makanisa mengine tunaambiwa lazima tutoe 10% zaka na 10% sadaka kwa kila hela unayopata hata kama umeokota. Yani kama basic yako ya salary ni 1,000,000 unatakiwa utoe 200,000 upeleke kanisani. Bado loan board 150,000 bado vat 180,000, nhif 28,000, RAAWU 18,000 vingine nimesahau. Sasa hapo ndugu yangu hiyo zaka na sadaka we unatoaga kweli?
 
hivi una maanisha nini unaposema tatizo sio shetani tutoe zaka? unajua zaka ni kazi sana kutoa? tena makanisa mengine tunaambiwa lazima tutoe 10% zaka na 10% sadaka kwa kila hela unayopata hata kama umeokota. Yani kama basic yako ya salary ni 1,000,000 unatakiwa utoe 200,000 upeleke kanisani. Bado loan board 150,000 bado vat 180,000, nhif 28,000, RAAWU 18,000 vingine nimesahau. Sasa hapo ndugu yangu hiyo zaka na sadaka we unatoaga kweli?
Jitahidi uwe unatoa zaka mambo yako yatanyooka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom