Karibu Happiness Massage Clinic

Karibu Happiness Massage Clinic

Tena language yake sio persuasive, dah 'hakuna' angesema. Samahani kwa bahati mbaya hiyo huduma haipo kwa sasa, hata hivyo massage zetu ni kwa afya pekee'

Sasa mura HAKUNA si km unaamrisha platoon

Ndo uende sasa huko ufanyiwe masaji kiboro kimedinda unataka happy ending uone atakavyokutengua kiuno

Utatoka nduki na taulo na msumari umesimama hahaaaa

Ila huyu ni mbabe kweli. Sijui mwanaume??
 
Wakati wa kufanyiwa massage kuna huduma nyingine ya ziada mdada anaweza kukupatia? Ambayo huwezi kuitangaza hapa ? Au ni pm jibu la swali langu.
Kama ipo leo nitakuja hapo lamada.
 
Ukifanyiwa massage ukakosa vngine utakua na tatizo ila tu uwe na balance ya kutosha... Anakunyimaje kwa mfano? Mpo room wawili na mdada utakaemchagua,anakufinyanga mpk mashine inawika then asikupe khaaaaa utakua hujataka. Ila
 
hahaha we mutu wewe........... eti Samahani Happiness umetisha yani kuuliza swali tu unaomba samahani
Sio yeye mtoa mada ndo anatisha usipoomba samahani anaweza kukujia na jibu ukahisi umenyongwa na kitu chenye bapa kali
 
Nafikiri mtoa uzi umeona jinsi gani mahitaji ya wateja yalivyo,

Sasa nenda kafanyie kazi hili suala kisha uje kuwaalika tena uone watakavyomiminika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom