Chabrosy
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 2,638
- 3,168
Nyinyi ni wanyonyaji na wezi amna hurumq na vijana wetu wa kitanzania..
hayo ni mambo ya uendeshaji...
hayo ni mambo ya uendeshaji...
Wanasingizia gharama za uendeshaji kumbe ni unyonyaji tuu, inafikia sasa mali za client zinakuwa matatani badala ya kuwa kwenye mikono salamaKwann mnawalipa wafanyakaze wenu mishahara midogo sana uoni kama mtawafanya sisi client wenu awo wafanyakazi wenu waingiwe tamaa ya kutuibia....
Shukrani mkuu! Shughuli zinabana tu.
Kwani wakati wa kuanza kazi kuna form labda ama mkataba unajaza?si umwambie tu ni laki 3 kwa guard kabla ya makato.
makato ni nssf, PAYE ndipo inabaki 280k
mwambie pia ukikosa kazini bila taarifa (absent) unakatwa 12,500
mwambie kila kitu ili aje akiwa yuko informed