X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,719
- 14,847
Hapana kabisa ila na mimi nafanya kazi kwenye kampuni inayozungumziwa....
Hapana kabisa ila na mimi nafanya kazi kwenye kampuni inayozungumziwa....
karibu sanaaaa
wako vizuri...sana na security officer wao wamepata train nzuri...Hawa jamaa naona wamejipanga sana ofisi yao naionaga pale Mikocheni Warioba.
Sent using Jamii Forums mobile app
nadhani ni vyema ukatafuta kazi kwanza ndugu yangu...ukitafuta mshahala hutoupata...mshahala ata ulipwe milioni haujawahi kutosha kabisa...ila kwa kifupi wafanyakazi wa kampuni hiyo wanalipwa mshahala mzuri kuliko kampuni yoyote ya ulinzi Tanzania...na mishahala yao hutofautiana kulingana na project husika...
karibu sana....Asante tutakuja
121.
hayo ni maneno tu...ina maana na sisi tumeinunua Zanzibar tulipo amua kuungana nao...? tukapata neno Tanzania...?
si umwambie tu ni laki 3 kwa guard kabla ya makato.nadhani ni vyema ukatafuta kazi kwanza ndugu yangu...ukitafuta mshahala hutoupata...mshahala ata ulipwe milioni haujawahi kutosha kabisa...ila kwa kifupi wafanyakazi wa kampuni hiyo wanalipwa mshahala mzuri kuliko kampuni yoyote ya ulinzi Tanzania...na mishahala yao hutofautiana kulingana na project husika...
kampuni inayoongoza duniani katika huduma za ulinzi ni G4S.View attachment 1433816
unapoizunguzia garda unazungumzia kampuni kubwa yenye kujari na yenye wafanyakazi wazuri ambao wana mafunzo maalum ya kupambana na kila aina ya uarifu..kwa sasa kampuni hii inaongoza afrika mashariki....hapo makamanda wakiwa kwenye mazoezi yao ya kawaida.
View attachment 1433822
kuna vifaa vya kisasa vya vya ulinzi...kama picha inavyojieleza hapo juu...
View attachment 1433820
kikubwa ni kuwa lazima upate mafunzo kwenye kampuni hii ukifuzu unapata kazi...hiyo inazihirisha kuwa wanaajili vijana bora ambao wamepitia kwenye mchujo katika upatikanaji wao...tofauti na makampuni mengine ambayo awazingatii ubora wa vijana wao...
acha ubishi kijana, unatoa mifano ambayo haiendani kabisa na hojahayo ni maneno tu...ina maana na sisi tumeinunua Zanzibar tulipo amua kuungana nao...? tukapata neno Tanzania...?
hongera kwa kuling'amua hiloacha ubishi kijana, unatoa mifano ambayo haiendani kabisa na hoja
GardaWorld ni kampuni ya mkanada Bw Stephan
Yeye kaona ili apanue biashara yake na apunguze wapinzani basi imabidi awanunue wapinzani wake
KK security ikanunuliwa mwaka 2016
ultimate nao wakanunuliwa
japo sio vipengele vyote vimebadilika katika kuhamisha umilikishi wa hizi kampuni kwenda Garda.
hayo ni mambo ya uendeshaji...kampuni inayoongoza duniani katika huduma za ulinzi ni G4S.
Hakuna kampuni inayonyonya kama gardaworld, lindo lenu la mgodi wa nyamongo lilikufa kwa sababu tu mliambiwa muongeze mshahara kwenda laki 5 kwa mlinzi, mkagoma! lindo likafa wakabeba G4S...
Imagine kwa kichwa kimoja kampuni inapokea milioni 2 lakini wanagoma kutoa laki 5 tu kwa mlinzi
UBALOZI WA MAREKANI PALE NAPO MMEONDOLEWA NA G4s kwa sababu kama hio ya nyamongo..
TBL Mbeya na Dar kote G4s wamebeba kwa sababu hio hio, unyonyaji...
Guys hebu wateteeni vijana wenzenu wapate maslah mazuri
walikukosea nini....awa garda mbona una wabana hadi kwenye penalt...?si umwambie tu ni laki 3 kwa guard kabla ya makato.
makato ni nssf, PAYE ndipo inabaki 280k
mwambie pia ukikosa kazini bila taarifa (absent) unakatwa 12,500
mwambie kila kitu ili aje akiwa yuko informed
kuambiwa ukweli unasema unabanwa?walikukosea nini....awa garda mbona una wabana hadi kwenye penalt...?
Bro umeongea ukweli mtupu bila hata punje sisi kampuni nayofanyia kazi tunalindwa na hao garda na unachosema ni ukweli tena wengne unakuta wanaanza na 250k -200k bado makato hamna cha overtime wala allowance yoyote ile yani wafanyakazi wanalalamika na kuumia chini kwa chini na imagine kila mlinzi kampuni inakunja hio 2milacha ubishi kijana, unatoa mifano ambayo haiendani kabisa na hoja
GardaWorld ni kampuni ya mkanada Bw Stephan
Yeye kaona ili apanue biashara yake na apunguze wapinzani basi imabidi awanunue wapinzani wake
KK security ikanunuliwa mwaka 2016
ultimate nao wakanunuliwa
japo sio vipengele vyote vimebadilika katika kuhamisha umilikishi wa hizi kampuni kwenda Garda.
Uko sahihi kbsasi umwambie tu ni laki 3 kwa guard kabla ya makato.
makato ni nssf, PAYE ndipo inabaki 280k
mwambie pia ukikosa kazini bila taarifa (absent) unakatwa 12,500
mwambie kila kitu ili aje akiwa yuko informed