Karibu Chit-Chat Pub And Restaurant

Du! Hang!over ni noma!, niingie chit-chat pUB,kama nitabahatisha supu ya Nguruwe!!,,kaziniii nitazuga naumwa tena na nimepelekwa kwa Sangoma! Ili Boss asiwe na shauku ya kunijulia khali!
 
kakangu, kwa kifupi huyo Erickb52 hatuwezi dada zako wote...... baada ya mimi kumfungia vioo alihamiaga kwa Kipipi. kwa taarifa nilizoziacha ni kwamba naye alimtimua, sasa sijui aje athibitishe hapa kama nasema uongo
 
Last edited by a moderator:
Hii Pub imejaa sana! kwani bia sh ngapi?
 
kakangu, kwa kifupi huyo Erickb52 hatuwezi dada zako wote...... baada ya mimi kumfungia vioo alihamiaga kwa Kipipi. kwa taarifa nilizoziacha ni kwamba naye alimtimua, sasa sijui aje athibitishe hapa kama nasema uongo

Mdada meku MISS!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…