Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 10,884
- 18,824
Njia tunayoenda ni mbaya sana. Tunaenda kuwa kama Sri Lanka. Tutaishiwa dola, tutashindwa kulipa madeni na kuagiza bidhaa, hapo ndipo CCM itakapojua kuwa ule msemo wa kuchimba shimo na kudumbukia mwenyewe ni halisi.