Kariakoo kumekucha Mabomu ya Machozi yarindima...

Kariakoo kumekucha Mabomu ya Machozi yarindima...

zubedayo_mchuzi

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2011
Posts
4,873
Reaction score
1,220
Nilikuwa Maeneo ya mitaa ya kongo,gafla wakafika askari kuwaondoa wafanya biashara ndogo ndogo,kwa kupiga mabomu ya machozi....
 
mkichagua serikali tatu jeshi linachukua nchi
 
Nilikuwa Maeneo ya mitaa ya kongo,gafla wakafika askari kuwaondoa wafanya biashara ndogo ndogo,kwa kupiga mabomu ya machozi....

Kwa sasa tanzania matumizi ya silaha na uovu ni kitu cha kawaida sana, ndio maana born here here huwaga hatuogopi hivyo vitu
 
Na mi naomba jeshi lichukue nchi tuheshimiane
 
Tupia tupia picha na sisi tuzoee uonevu kama wa sudani
 
hayo mabom umeyapiga ww? kwan nimeshinda mtaa wa kongo tokea asubuh cjackia k2 kama hicho.jesh haliitaji simple demonstration kama hzo to send a sms,ni neno moja tu nchi inakuwa chini yao
 
Mkuu mbona ni askari wachache sana waliokuwa wanarandaranda maeneo hayo!!

Kuna muda nilikuwa Tandamti kulikuwa na FFU kadhaa wenye mabomu wakipiga mikwara ya maneno tu...kumbe walikuwa na nia mbaya hivi!!!
 
wale vijike tu kama wanaweza waende sudani na vibom vyao vya kukamatia kuku upo waambie wakome kabsaaa!!
 
Back
Top Bottom