Kardinali Pengo alionya toka 2006

Kardinali Pengo alionya toka 2006

Mnyamahodzo

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2008
Posts
1,935
Reaction score
1,006
Kwanini Hoja ya Kardinali Pengo hawataki kuizingatia?

Si mara ya kwanza au ya pli kwa Mwadhama Kardinali Polycrap Pengo kutoa kauli zenye kuonya kwamba huko tunakokwenda kwa viashiria hivi si kuzuri. Lakini anaposema sasa, wako wasahaulifu wanasema Kardinali Pengo ni mchochezi.
Agosti 27 2006, akiwa anahubiri katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Ana liliko Kinondoni-Hananasif alisema “wakati wowote inapotokea kwa watu wa Taifa moja kuanza kutukanana, kukashifiana na kutoleana maneno ya kebehi kwa sababu za kidini, hiyo ni ishara mbaya kwa Taifa lolote lile.” Akaendelea kwa kuuliza “ Hivi haya matusi ninayosikia au mnayoyasikia ninyi wenzagu vyombo vya dola haviyasikii? Uhuru wa kuabudu si uko kwa mujibu wa Katiba ya nchi? Mbona watu wanavunja Katiba na kuachwa tu?” Akaendelea kusema “Mimi nasema, kama walinda usalama hawayasikii haya ambayo wengine tunayasikia, tuwaombee kwa Mwenyezi Mungu ili waweze kusikia. Kama wanasikia na kupuuzia tu, basi tumwachie Mungu pia.”
Chanzo: Mtanzania Toleoa. 3764 Jumatatu, Agosti 28, 2006 lenye kichwa ‘Pengo avishukia vyombo vya Dola’ -Ni kuhusu mihadhara , ashangazwa na ukimya wao, -ataka viombewe, alaani mihadhara ya matusi.

Hivi ni kweli toka 2006 hadi sasa vyombo vya usalama hawajasikia? Hivi ni kweli hawajaona? Kama hawajao na ni kitu gani kulichowafanya Polisi wa Mbeya kwenda kumkamata pale Iyunga kanisani Mwinjilisti aliyekuwa anawaonyesha waumini wenzake kanda ya mahubiri ya kichochezi ya Shekh Ilunga Kapungu na kumbabikia kesi ya kuwa yeye ndiye mchochezi? Hivi zile CD na DVD zinazoonyeshwa na kuuzwa waziwazi nyakati za jioni katika njia panda na mitaa hawazioni? Hivi yanayoandikwa na magazeti ya Kisiwa, Al-Hudda na Al-nuur huwa hawayasomi? Hivi kambi zinazotajwa za mafunzo ya ugaidi kuwepo Tanzania toka 2003 nalo hawalioni ama hawajasikia?

Nakumbuka Septemba 2003, Gazeti la Msemakweli liliwahi kuandika “Saudi Arabia yamwaga mamilioni ya Dola kufundisha ugaidi nc hini”, ambapo k atika maelezo yake walitaja wazi kuwa mafunzo hayo hutolewa katika misikiti 30 kati ya 487 iliyopo Dar es salaam. Ilielezwa kuwa mafunzo hayo ya kigaidi huitwa WAHHABISM na ndiyo yaliyomkuza Osama bin Laden. Humu humu JF iliwahi kutolewa tahadhari mwaka 2008 juu ya ule msikiti wa Kiwalani (wenye uzio) juu ya mafunzo yake na aina ya wageni wanaoingia na kutoka pale makundi kwa makundi.
 
Watawala wamejaa kiburi lakini wajue haya yatawakumba hadi watoto wao!
Naomba Rais Kikwete utokee muujiza wa kutambua vizuri kuwa nchi inasambaratika achukue hatua si mikutano ya kunywa juice na viongozi wa dini!
Achukue hatua pia abadili uongozi wa majeshi yote.
 
Tulikuwa tukiyasikia kwa wenzetu ila sasa yametufika, na sijui kama tutaweza kuiita Arusha ni Geneva ya Africa kwa mwendo huu.
 
Hawa Penguine nao ni Wanafiki tu. Wanapenda PESA na Dogodogo kama hawana akili nzuri vile. Ndiyo maana kila sehemu ni Skandali tu wanashushiwa. Najua wapo watakatifu kweli kweli ila ni wachache sana. Hawa Wachngaji wanatafuna sana hela za Kondoo na kuwala watoto wa Wanakondoo wema.

Sasa mwisho wake hata wanapoambiwa kulipa wema kutoka kwa wanasiasa, wanashindwa hata la kusema na wanabaki wanapapasa papasa tu mabaya, Damn.....

images
images
images
images
images
images
images
images
images
 
hivi kwa nn usalama wa taifa wa tz wamelala....
 
Mkuu naona masaburi yako yanawasha

Mkuu, hukuwa na sababu ya kumtukana huyo "ole wako" kuhusu maoni yake kwa Mwadh. Pengo. Hivi ndivyo ule urojo mweupe uliomo kichwani mwake ambao kwa kujidanganya anauita ubongo ulivyomtuma kuandika. Zaidi ungempa pole.
 
Katika chokochoko zote zilizotokea za kidini, sijasikia kiongozi yeyote yule akirejea kwenye katiba na kusema kuwa katiba ya nchi inatamka kuwa nchi hii haina dini.

Sent from my GT-I9100 using Tapatalk 2
 
Mkuu, hukuwa na sababu ya kumtukana huyo "ole wako" kuhusu maoni yake kwa Mwadh. Pengo. Hivi ndivyo ule urojo mweupe uliomo kichwani mwake ambao kwa kujidanganya anauita ubongo ulivyomtuma kuandika. Zaidi ungempa pole.

Mkuu hajatukanwa mbona?
 
Serikali iliyoko madarakani ndio inafadhili vikundi vya kigaidi.
 
  • Thanks
Reactions: HT
Mkuu Dingiswayo, wamesema na si kusema tu bali ia wameandika hata katika lile tamko lao maaskofu.
Kwa kuwa yalikuwa ni mahubiri kanisani Mhadhama Kardinali Pengo alisema "Uhuru wa kuabudu si uko kwa mujibu wa Katiba ya nchi? Mbona watu wanavunja Katiba na kuachwa tu?" Ni kauli katika lugha nyepesi (not to detail) kwa kile unachokitaka. Lakini concept ni ile ile.
 
  • Thanks
Reactions: HT
Kidole kimoja wamwelekeza Pengo. Vingapi vinakuelekeza wewe.
 
Back
Top Bottom