Karamagi na wanasheria wake watupiana mpira kuhusu tuhuma za ufisadi.

Lawson

Member
Sep 25, 2007
69
4
Waziri aliyetuhumiwa ufisadi adai fidia ya Sh10bilioni


Source:Mwananchi 10/10/07
 
Mwaka huu tutaona na kusikia mengi . Wao waende tu Mahakamani tujue ukweli kwa upande wao maana kwa Slaa kila kitu kiko wazi .
 
Hawa MAFISADI wamefikia wapi na kwenda mahakamani? Jamani walioko karibu na hao wanasheria tunaomba waendelee kuuliza kulikoni miezi inakwenda bila kumaliza kuandaa mashitaka?
 
HILI NI GAZETI LA SIKU MINGI SANA. Naona Muhibu hakuona majadiliano yaliyokwisha fanyika humu ndani ya JF kuhusiana na hii mada!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…