wakimataifa.
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,625
- 559
Kuna uzembe wa hali ya juu hapo ofisini, watu wameshafanya malipo ya viwanja kupitia bank kupata risiti ni shughuli toka tumeleta pay slips za bank saa nne mpaka saa sita dk kumi bado hatujapewa risiti inawezekata mpaka J3.