Ndg zang watanzania pichani hapo anaitwa HUSEIN MRISHO ALEX umri ni miaka 13 anachangamoto ya ugonjwa wa kifafa ni mwenyeji wa mwanza, Kapotea maeneo ya Geita-Katoro.
Naombeni msaada wenu kwa atakae muona ili tuweze kumpata.Namb ya simu 0656974260/0769575887.