Magufuli 05
JF-Expert Member
- May 7, 2023
- 1,990
- 3,821
Wakati Job anasema ni lini tutazalisha chetu na kuacha kukopa ovyo ulimshambulia sana. Mzee baba akaona isiwe tabu . Dawa ya wapuuzi ni kuwaachia mashua inayozama wakazame nayo huyooooo akaruka.
Umekopa umekopa bila aibu. Umesafiri weeee. Leo unakuja kutuambia eti uchumi wetu unafanya vizuri kuliko nchi za ulaya na Marekani. Kweli? Yaani Tanzania ifanye vizuri kwenye uchumi kuliko beberu aliyekukopesha toka uhuru mpaka Leo?
Uliwaonaje wananchi wa mkoa huo? Njia ya muongo ni fupi. Kiko wapi?
Uliingia kwa mbwembwe eti unafungua nchi na wajinga wakapiga makofi. Haya Leo upo kwenye blacklist. Kiko wapi? Na Bado hujasema.
Pia soma > Rais Samia: Ulaya na Marekani hawafanyi vizuri kiuchumi kama sisi
Umekopa umekopa bila aibu. Umesafiri weeee. Leo unakuja kutuambia eti uchumi wetu unafanya vizuri kuliko nchi za ulaya na Marekani. Kweli? Yaani Tanzania ifanye vizuri kwenye uchumi kuliko beberu aliyekukopesha toka uhuru mpaka Leo?
Uliwaonaje wananchi wa mkoa huo? Njia ya muongo ni fupi. Kiko wapi?
Uliingia kwa mbwembwe eti unafungua nchi na wajinga wakapiga makofi. Haya Leo upo kwenye blacklist. Kiko wapi? Na Bado hujasema.
Pia soma > Rais Samia: Ulaya na Marekani hawafanyi vizuri kiuchumi kama sisi