Ni jamaa
ninaeishi nae nyumba ya kupanga. Anamke tena mzuri tu na mtoto wa kama
miaka mitatu hivi.
Kwa ujumla ni mpenzi wa movi za x. Nazani sababu kaoa huwa ananunua na
kuziangalia na kuziifadhi ni kwangu.
Mi si mpenzi wa kanda hizo hivyo huwa anaziweka nikiwa naondoka siku
moja nilirudi gafla nikamkuta anaangalia cd ya x huku anapiga punyeto.
Tena nilikuta kakinga taulo lake anakitupa
Ye ni mcheshi saana ila aliona aibu kidogo akajikaza na kuanza
kujichekesha.
Nilichukia ila ikabidi nicheke kupunguza hasira. Nikamtani vipi home
mzungu wa nne(sababu mkewe hana mimba wala mtoto mchanga) akanipa story
kuwa
anapenda punyeto sababu kwanza anajichagulia saizi ya k kwa mkono
msichana kwa hisia eti za punyeto zote ni taiti na kwa hisia amesha du
hadi na wazungu.
Mbili alianza tokea shule za bweni chuo na kwenye ubachela kwa kuwa
hakuwa na ela za kuhonga
tatu humsaidia kutotoka nje ya ndoa live na kuleta magonjwa ndani. Na
kweli jamaa hana tabia ya wanawake.
Mwisho akasema bila punyeto bao la kwanza ni ndani ya sekunde tatu tu
Na akasisitiza mke huwa hamnyimi
je ni sahihi kwa mtu aliyeoa au kuolewa kupiga punyeto?