Huyu jamaa anajifanya kama yuko tofauti
Na wanadam wengine
Itatokea siku atasema yeye haendagi chooni
Ova
π π πView attachment 1917237
Aligundua miwani eti hiyo ππππ. Anataka kuuzia watu
Kanye aisee mambo yake burudani sana. Lazima dishi lina yumba yumba sumtimeπ π π
Kibongo bongo kama Fid Q. Sijui wapoje.Huyu jamaa anajifanya kama yuko tofauti
Na wanadam wengine
Itatokea siku atasema yeye haendagi chooni
Ova
Genious unawajua?Kanye ni genius halafu ni bipolar
Huwa haeleweki
Nimecheka hadi watu hapa wameshangaa
Alisha wahi ugua matatizo.ya akili sio kifichoNikitizama mtiririko wa vimbwanga vyake, huwa naishia kuhisi kanye kuna nati haiko sawa kichwa
Huyu jamaa ni chizi aisee ππNimecheka hadi watu hapa wameshangaa
Hii miwani au plasta.?? Hivi.kanye anatuonaje lakini. But miwani ya kwanza ilikua na mfanano km huo.
All in all Kanye ni genius kwenye music industryHata ukifatilia magenius wengi duniani kina Einstein,Newton Wana dalili hizo hizo.
Kama ulishasoma Na genius shuleni utagundua kwenye Maisha nje ya vitabu alikuwa kama mjinga fulani
Airtime tu anapewa.. wapo wakali ipi nyimbo ya kanye inayotuaminisha hivyo..? Maana nyimbo zake za kawaida tu sema vituko vyake ndivyo.vinampa ukubwa na kivuli cha Jay Z kwenye mziki kina muinuaAll in all Kanye ni genius kwenye music industry
Kweli kabisaHuyu jamaa anajifanya kama yuko tofauti
Na wanadam wengine
Itatokea siku atasema yeye haendagi chooni
Ova
ππHuyu kanye kabaki kujiita tu "kajamba"
πAfadhali maana kuitwa Kanye kila siku ndugu yangu dah!
Kanye West hana tofauti na msanii wetu wa JF Don Nalimison(Dea Kisandu) tofauti labda hela tuKanye aisee mambo yake burudani sana. Lazima dishi lina yumba yumba sumtime
Kanye West ni genius, nikisema nimesemaAirtime tu anapewa.. wapo wakali ipi nyimbo ya kanye inayotuaminisha hivyo..? Maana nyimbo zake za kawaida tu sema vituko vyake ndivyo.vinampa ukubwa na kivuli cha Jay Z kwenye mziki kina muinua