Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa anajifanya kama yuko tofauti
Na wanadam wengine
Itatokea siku atasema yeye haendagi chooni
Ova
๐ ๐ ๐View attachment 1917237
Aligundua miwani eti hiyo ๐๐๐๐. Anataka kuuzia watu
Kanye aisee mambo yake burudani sana. Lazima dishi lina yumba yumba sumtime๐ ๐ ๐
Kibongo bongo kama Fid Q. Sijui wapoje.Huyu jamaa anajifanya kama yuko tofauti
Na wanadam wengine
Itatokea siku atasema yeye haendagi chooni
Ova
Genious unawajua?Kanye ni genius halafu ni bipolar
Huwa haeleweki
Nimecheka hadi watu hapa wameshangaaView attachment 1917237
Aligundua miwani eti hiyo . Anataka kuuzia watu
Alisha wahi ugua matatizo.ya akili sio kifichoNikitizama mtiririko wa vimbwanga vyake, huwa naishia kuhisi kanye kuna nati haiko sawa kichwa
Huyu jamaa ni chizi aisee ๐๐Nimecheka hadi watu hapa wameshangaa
Hii miwani au plasta.?? Hivi.kanye anatuonaje lakini. But miwani ya kwanza ilikua na mfanano km huo.View attachment 1917237
Aligundua miwani eti hiyo . Anataka kuuzia watu
All in all Kanye ni genius kwenye music industryHata ukifatilia magenius wengi duniani kina Einstein,Newton Wana dalili hizo hizo.
Kama ulishasoma Na genius shuleni utagundua kwenye Maisha nje ya vitabu alikuwa kama mjinga fulani
Airtime tu anapewa.. wapo wakali ipi nyimbo ya kanye inayotuaminisha hivyo..? Maana nyimbo zake za kawaida tu sema vituko vyake ndivyo.vinampa ukubwa na kivuli cha Jay Z kwenye mziki kina muinuaAll in all Kanye ni genius kwenye music industry
Kweli kabisaHuyu jamaa anajifanya kama yuko tofauti
Na wanadam wengine
Itatokea siku atasema yeye haendagi chooni
Ova
๐๐Huyu kanye kabaki kujiita tu "kajamba"
๐Afadhali maana kuitwa Kanye kila siku ndugu yangu dah!
Kanye West hana tofauti na msanii wetu wa JF Don Nalimison(Dea Kisandu) tofauti labda hela tuKanye aisee mambo yake burudani sana. Lazima dishi lina yumba yumba sumtime
Kanye West ni genius, nikisema nimesemaAirtime tu anapewa.. wapo wakali ipi nyimbo ya kanye inayotuaminisha hivyo..? Maana nyimbo zake za kawaida tu sema vituko vyake ndivyo.vinampa ukubwa na kivuli cha Jay Z kwenye mziki kina muinua