Kanuni saba za maisha

Kanuni saba za maisha

Said Cosmetics

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
2,007
Reaction score
1,600
Nawasalimu kwa jina la JMT.


KAZI IENDELEE.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu...

Kuna kanuni saba za maisha

1. Siku zote ishi katika uhalisia wako (reality of nature not imitated one)
2. Heshimu itikadi na imani ya mwenzako kwa kuzithamini
3. Kuwa na uwezo mkubwa wa kutunza siri ya mtu.jambo la kutunza siri sio jambo la kitoto wengi wamevunja mahusiano yao kutokana na kushindwa kutunza siri ya rafiki au mwenza wake.
4. Ishi ukitambua kwamba kila mtu, anauhitaji na shida bila kuangalia tajiri au maskini(wote wanahitajiana)
5. Kumbuka siku zote za maisha yako mapenzi hayalazimishi(if you want to shorten your life,just try it harder)
6. Busara na utu siku zote utakufanya kuwa mtu wa watu(loved and missed one in your absence)
7. Wapende watu wote bila kujali wala kubagua dini,imani,itikadi,kabila wala rangi au rika au jinsi.

Wakuu karibuni tuongeze muda ea kuishi kwa kuongezea sheria nyingine. Za maisha.​

FB_IMG_16247973663719195.jpg


Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Hakuna kitu kama hicho umeandika hapo juu, watu watakutendea unavyowatendea na si vinginevyo, labda kama hujaanza kuishi maisha yako huwezi elewa.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Namba 4 watu wengi wanashindwa kuizingatia na kusababisha mifarakano isiyo na maana..

Watu huwa wanasahau kwamba shida/matatizo ni kama matako.. Kila mtu anayo.
 
Zama zimebadlika saana mkuu wale waaminifu wanapitia magumu kuliko kawaida Mimi siku hizi naanza kwenda na upepo

Uniltee ubwege nikupende Mimi ni yesu?
Hili la kwenda na upepo nilishaliona mapema nikahamia CCM kabisa na kumpigia kampeni mwendazake na alipoenda sasa hivi nipo timu ya mama tunainua uchumi🤣
 
Back
Top Bottom