Suleiman mathias
Member
- Apr 3, 2012
- 28
- 7
Ndugu wanajamvi nilifikiri watu hawa wapo tu wizarani kumbe hata Bungeni wamo,Mh Kigwangala ameniacha hoi pale aliposhindwa hesabu za darasa la pili,hebu tazameni alichoweka kwenye wall yake ya facebook[h=5]Mpaka sasa CCM ina Kata 21, CDM 4, na TLP 1 kati ya 21 zenye uchaguzi mdogo! Hongera makomredi wote na pole watani wetu[/h]na uone alivyojumlisha hiyo hesabu "