Kanitumia nauli, sijaenda

Kanitumia nauli, sijaenda

Nimemkomesha. Kanitumia nauli akajua ntaenda mi sijaenda. Ananipigia sipokei. Akiendelea nampiga block
Dah...Safi sana... endelea hivyohivyo. Tunasubiri Uzi mwingine zaidi
 
Soon dawa yako ipo jikoni. Usione wale gunia 2 za mkaa,risasi 3 za kifua,mapanga 8 ya kichwa,ukafikiri mambo yalianzia kwa shetani. Yalianza mdogo mdogo kama unavyotaperi hivi. Usifikiri mabaharia wanatulia tu wakiibiwa
 
Back
Top Bottom