mpingauonevu
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 623
- 430
Wapendwa mimi bado ninabumbuwazi na hili kanisa la kurudisha misukule. kwanza walipoanzisha hiyo program yao ya kuita wanasiasa wakawaita kambi ya Sitta na mwakiembe. Sera zilizopelekwa hapo ni sumu na ufisadi. Wa mwisho kutembelea hapo ni Nape Nnauye. Maswali ninayojiuliza
1. Mungu anaweza kudhihakiwa kwa kiasi hiki? kama kanisa linamuandaa rais Na waislam nao wakamuandaa na wapagani hii nchi itatawalika?
2. Busara za viongozi huwa ni wale walioko ccm tu? yaani CDM, CUF au NCCR hawana viongozi wenye hekima?
3.kwa kuifahamu biblia, Mungu huwa hachagui mtu maarufu na mwenye uwezo (alimchagua daudi kuwa mfalme akiwa mdogo, alimchagua mariam maskini kati ya mabikira waliokuwa maarufu) - sasa leo kumchagua mtu maarufu kunaendana na andiko?
4.Kwa sababu hawa mitume na manabii wanaopenda sifa huwa hawapendani (kwa sababu wote ni wapenda sifa kama baba yao lusifa)(anayempenda Mungu humpenda jirani yake) - inamaana Kakobe na Mwingira nao wanarais wao? (angalau kakobe aliaibika baada ya mrema kuchina)
5. Je? hao wakina sitta (kumbuka sitta ameoa wanawake wawili) wanaishi kulingana na maadili ya kanisa?
6. au ndio kuwajibu EL na RA kwamba wao wakienda lutherlan na Roman wao wanaenda kwa wapentekoste?
Wapendwa naomba mnisaidie kushangaa!
1. Mungu anaweza kudhihakiwa kwa kiasi hiki? kama kanisa linamuandaa rais Na waislam nao wakamuandaa na wapagani hii nchi itatawalika?
2. Busara za viongozi huwa ni wale walioko ccm tu? yaani CDM, CUF au NCCR hawana viongozi wenye hekima?
3.kwa kuifahamu biblia, Mungu huwa hachagui mtu maarufu na mwenye uwezo (alimchagua daudi kuwa mfalme akiwa mdogo, alimchagua mariam maskini kati ya mabikira waliokuwa maarufu) - sasa leo kumchagua mtu maarufu kunaendana na andiko?
4.Kwa sababu hawa mitume na manabii wanaopenda sifa huwa hawapendani (kwa sababu wote ni wapenda sifa kama baba yao lusifa)(anayempenda Mungu humpenda jirani yake) - inamaana Kakobe na Mwingira nao wanarais wao? (angalau kakobe aliaibika baada ya mrema kuchina)
5. Je? hao wakina sitta (kumbuka sitta ameoa wanawake wawili) wanaishi kulingana na maadili ya kanisa?
6. au ndio kuwajibu EL na RA kwamba wao wakienda lutherlan na Roman wao wanaenda kwa wapentekoste?
Wapendwa naomba mnisaidie kushangaa!