Kanisa Katoliki lagoma kuzika

Kanisa Katoliki lagoma kuzika

Ni hatari kuchezea dini za watu, Nadhani kila DINI ina misingi na taratibu zake ambazo zikikiukwa ua kuvunjwa au kutozifuata basi hatua zinachukuliwa bila kujali huyo mtu anatoka kabila gani au Chama gani, Kanisa katoliki limekuwa likiwaadhibu wale wote wanaokwenda kinyume na taratibu zake, Ni tusi kubwa Kwa Kanisa katoliki kudhiaki "Utatu mtakatifu"kwa hiyo bila kujali wewe ni wa chama gani unastahili adhabu kali, Mwandishi wa hii habari ameweka ushabiki wake wenyewe ili kufanya ili suala lionekane kisiasa zaidi au kidini ili kujaribu kutaka kuthibitisha anachoweza kichwani kwake.

Nadhani ni uwezo mdogo tu wa mwandishi wa kuchanganua mambo, kwa vile kama angetaka habari yake iwe na mantiki angeenda kwa Askofu husika kupata uhalisia wa habari yenyewe badala ya kuandika yeye anachofikiri ni sahihi.
 
Huu ndio udini ambao benjamini mkapa ( rais mstaafu ) alizungumzia pale jangwani sasa chadema mnataka uthibitisho gani kuwa chadema ni chama cha katoliki, kkkt inabidi nasi kutafute chama.
Hii sio nchi ya katoliki.
Nawashauli waumini mliotengwa kanisa sio hilo tu kuna sabato anglikana na mengine mengi nendeni huko.
Hawa viongozi wa katoliki wako kichama zaidi sio kiroho.
Narani kitendo hiki
Kufirisika kimawazo au kiakili si lazima uokote makopo........hata post zina uwezo wa kuonyesha akili yako imekaa vipi.............. I DO NOT SEE THE CONNECTION BETWEEN CDM, MAZISHI NA UKATOLIKI
 
Sweden fujo ilitokea na waislam waliandamana na dunia yote ya kiislam pale mchora katuni,alipomchora Mtume Muhamad, Miss World ya mwaka 2002 Nigeria ilihamishiwa London,pale mwandishi mmoja alipotoa mfano kwamba mtume angekuwepo angeoa miss mmoja. Facebook Pakistan ilikuwa blocked pale walipochora katuni ya mtume. HUYU MBUNGE WA SUMBAWANGA AMEKASHIFU UTATU MTAKATIFU. AMBAYO NDIO NGUZO NA MSINGI MKUU WA IMANI TAKATIFU KWA KANISA KATOLIKI .DAH KWELI WAKATOLIKI Ni WAPOLE. WANGEKUWA NDUGU ZETU .MOTO UNGEWAKA.

Ingekuwa ILE DINI imekashfiwa tungeshuhudia makanisa yakichomwa moto, maandamano makubwa, balozi zikichomwa moto, nk Hongereni sana Kanisa Katoliki kwa kutumia utaratibu wa amani! Wabaya wameshalifanya kuwa ni la kisiasa ili baadaye waje wapate kisingizio cha kushindwa wakigalagazwa!
 
Back
Top Bottom