Ndio keshaachia mkuu!!Mokiwa hawezi kuavhia hicho cheo hivi hivi labda kwa mtutu wa bunduki. Mokiwa ni mafioso
Kama Uhuru wa kuongea kweli upo mbona tunashuhudia matumizi ya nguvu zinazopita kiasi kwa waumini na wakrelo dhidi ya viongozi wao wasio waadilifu? Mbona hamyamalizi mezani kama kweli mnasikilizana? ( rejea ya dar, mwanza, bukoba, Dodoma nk.) Tena kuhusu asili ya Anglican huko usiende, ni kuchafu mno.Suala sio uswahili Bali ni asili ya kanisa au makanisa yote ya protestant ambapo Uhuru wa kuongea na kuhoji ni kitu cha kawaida kuliko huko uliko ambapo hakuna Uhuru was kuhoji, kila kitu ni tawire utafikiri uko kwa mganga wa kienyeji.
Mkuu kuhusu suala la uchafu ni bora ukae kimya hakuna kuliko kusafi, kumbuka utakavyomnyooshea mwenzio kidole vingine vinakuelekea mwenyewe.Kama Uhuru wa kuongea kweli upo mbona tunashuhudia matumizi ya nguvu zinazopita kiasi kwa waumini na wakrelo dhidi ya viongozi wao wasio waadilifu? Mbona hamyamalizi mezani kama kweli mnasikilizana? ( rejea ya dar, mwanza, bukoba, Dodoma nk.) Tena kuhusu asili ya Anglican huko usiende, ni kuchafu mno.
Kwahiyo Makamba ni muamglikana?!!
acha uzendesi basi"Anglikana wamejaa waswahili (wangoni na wasambaa) +kanisa duni kifedha watatifuana muda si muda.
Wewe ndio umepotelea wapi!!!Kwa miaka mingi sana sijawahi kukutana na Muanglican! Hivi mmepotelea wapi?