Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,658
- 15,813
Alitakiwa kufanya risechi ajiridhishe kwanza. Sio kuvamia vamia tu....Yeye alipiga sim akijua huyo dada yuko free
Alitakiwa kufanya risechi ajiridhishe kwanza. Sio kuvamia vamia tu....Yeye alipiga sim akijua huyo dada yuko free
Duh! Huyo mwanmke ana hatari... Kwa maelezo yako, huna hatia ila huyo mwanaume hapo ana chake... Siku akifilisika huyo mwanamke atamvumilia kwa siku 5 tu!alinihakikishia kwa kweli nlikuwa sina shaka hata kidogo ilifikia wakat akawa ananiweka DP kwene wasap sindo nikaamini 100%
mkuu nipe namba ya huyo demu mimi , kifo kitu gani na tunaishi mara mojangoja dawa yake ipo jikoni maana amenisumbua sana daah
Ukitaka kujua kuwa mke anauma oa afu ufanyiwe kama ulivyomfanyia huyu jamaa.nakushauri achana na hii tabia mkuuukimuona uwezi kuamini full shungi yani muislam kumbe mwongo
I seee,ni wa viwango vya juualinihakikishia kwa kweli nlikuwa sina shaka hata kidogo ilifikia wakat akawa ananiweka DP kwene wasap sindo nikaamini 100%
Tatizo lako na we uliharibu kujifanya una penzi-mahaba kupiga piga simu kila saaa! Hukujua principle ya 'kumchinja kobe timing'?

uzury sikamuonesha jamaa kibury nimekubali makosa ila makosa yapo kwa mkewe lakini yote hayo tuliyamaliza ntachofanya ntachange nambaUkitaka kujua kuwa mke anauma oa afu ufanyiwe kama ulivyomfanyia huyu jamaa.nakushauri achana na hii tabia mkuu
Bilashaka umu jamvini wenye hizi tabia wengi tu na ndio hao wanaokwambia mpige mkwara,ila kiukweli mke anauma acha utani
Demu wako tu ukijua anamegwa na msela inakuuma ndo iwe mke kk
Mm nadhani simple way ni kubadili namba anza ukurasa mwingine.naamini utaoa uko mbeleni na utakuja kuonja hayo maumivu ya jamaa ndipo utakuja kuamini ninachosema.jamaa inamuuma sana ndio maana anafanya hivyo
Lakini kitendo cha binti kuja kwa jamaa na kukaa siku mbili ni ushahid mkubwa wa kuamini kuwa binti yuko free /hana mtu.Alitakiwa kufanya risechi ajiridhishe kwanza. Sio kuvamia vamia tu....
Sasa mkuu, una uhakika gani kuwa hayuko humu jf. Wakati mwingine ni vizuri kuwa na siri yako mwenyewe. Sasa kama umemjibu kua hujasex na mkewe na hapa umetoa full details hadi mnayoongeleshana wenyewe, unaficha au unaweka waziPoleni na majukumu ya kila siku ndugu zangu,
Kwa kifupi ni kwamba kulikuwa na dada mmoja ambaye tulisoma naye chuo miaka ya 2009-2012 kwa kipindi hicho tulikuwa na mahusiano but baada ya kumaliza tulipotezana sasa hivi majuzi aka ni add fb na kuanza kuchat na mimi na akanambia yupo Tabora tuliongea mengi ndipo alipoanza kuingiza mambo ya mapenzi kwamba tuonane cha kwanza nilimuuliza kama hajaolewa au la akadai hajaolewa na hana mtoto.
Yeye yupo Mwanza mm kwa sasa nipo Kigoma siku moja alinipigia simu kuwa yupo njiani anakuja sikuweza hata kumzuia alifika na nikampokea nakumbuka alikaa kwangu siku 2 na aliondoka so kwa kuwa alinambia yupo pekee mimi nilikuwa nampigia simu kila mara hadi usiku la haula kumbe ni mwongo anaye mume sema mume ni mtu wa kutokatoka.
Siku moja mchana nikapiga simu nilishangaa anaongea kiuoga mie nikakata kidogo nikapigiwa simu na jamaa na akanambia niachane na wife ake nilimfafanulia kila kitu na kuanzia siku hiyo nilimlaani yule mwanamke na nilikata mawasiliano tatizo mme wake ananidodosa eti nimesex na mke wake au la kimsingi nimemjibu sikafanya naye chochote na nikamwambia mke wake hakufika kwangu ila ki ukweli nilifanya naye kwa kuwa sikujua sasa jamaa ananambia eti kama nimefanya na mke wake litakalonipata nisimlaumu amekuwa akinitumia meseji kila siku na anadai toka siku nilivyopiga simu na akanibaini mkewe amekuwa hamuongeleshi jamaa ameninyima amani sio siri.