Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,978
- 5,025
- Thread starter
- #21
<br />Semanae taratibu na usisitize msimamo wako kwa upole. Inawezekana asijekuwa mpenzi wako na badala yake akawa mshauri wako au wewe ukawa mshauri wake. Hasa ktk suala la mahusiano inaonyesha ameathirika kisaikolojia. Kama hafai kuwa mwenzi anafaa kuwa rafiki na ipo siku atakufaa japo kwa mawazo. Usimtenge nakuasa Mkuu...! Huwa inatokea-ga ktk maisha hasa ya ujana.
<br />
nashukuru mkuu ushauri wako nitaufanyia kazi!