Kaniomba nizae naye!!

Kaniomba nizae naye!!

Ahsante mkuu kwa ushur ulio tukuka
ujanani nilikutana na jambo kama hili Kyela wakati tukifanya magendo ya power namba moja na sukari pori kwa pori na akina X ambaye kwasasa ni mbunge wa jimbo flani ndani ya mbeya na ni maarufu kwa biashara ya vipodozi,sasa pale nilikutana na dada ambaye kiukweli naweza sema ni moja kati ya wanawake waliowahi kunipenda sana aisee ndipo akaniomba nizae nae mtoto ili hata siku nikiondoka awe ana mtu wa kumfanya anikumbuke na alikuwa anajiweza kifedha na alisema kuhusu malezi atalea mwenyewe mwanzo nilikataa ila baadae niliingia mkenge nikakubali,mamvo yalienda sawa akabahatika kujifungua mtoto wa kiume na hapa ndipo kero zikaanza aisee yan nilikuwa mhuni asiye na mke lakini kichwa kilikuwa kinawaka moto sasa wewe mwenye ndoa itakuaje kama mambo yakija kupinduka,ilifikia kipindi kero zikazidi hadi nikabadili hata route ya biashara nkaanza kuingia malawi kupitia mto flani upo pale pemba karibia na tunduma,mbaya zaidi niliwah kumwambia kijiji nachotokea(ndani ya iringa)aisee kuna siku sina hili wala lile nilimkuta nyumbani kwa mzee wangu kaleta mtoto....ni hadithi ndefu sana ila nilisusiwa mtoto ambaye kwa sasa ni mtu mzima sasa

Kataa hiyo kitu kwa faida yako,familia yako na hiyo ndoa yako yenye fulaha ndgu yangu
 
Hapana boss hana mimba kabisaa nina uhakika na ninacho kisema
Una uhakika gani mkuu? Huyo ana mzigo tayari....anakuandalia mazingira tu ukilainika ndio unapewa breaking news.
 
Mkuu nina mirz saba sasq sjadet naye ataanzaje kisema ana mimba? Miez saba angkuwa nayeo angesha niambia lakin kaomba
Una uhakika gani mkuu? Huyo ana mzigo tayari....anakuandalia mazingira tu ukilainika ndio unapewa breaking news.
 
ujanani nilikutana na jambo kama hili Kyela wakati tukifanya magendo ya power namba moja na sukari pori kwa pori na akina X ambaye kwasasa ni mbunge wa jimbo flani ndani ya mbeya na ni maarufu kwa biashara ya vipodozi,sasa pale nilikutana na dada ambaye kiukweli naweza sema ni moja kati ya wanawake waliowahi kunipenda sana aisee ndipo akaniomba nizae nae mtoto ili hata siku nikiondoka awe ana mtu wa kumfanya anikumbuke na alikuwa anajiweza kifedha na alisema kuhusu malezi atalea mwenyewe mwanzo nilikataa ila baadae niliingia mkenge nikakubali,mamvo yalienda sawa akabahatika kujifungua mtoto wa kiume na hapa ndipo kero zikaanza aisee yan nilikuwa mhuni asiye na mke lakini kichwa kilikuwa kinawaka moto sasa wewe mwenye ndoa itakuaje kama mambo yakija kupinduka,ilifikia kipindi kero zikazidi hadi nikabadili hata route ya biashara nkaanza kuingia malawi kupitia mto flani upo pale pemba karibia na tunduma,mbaya zaidi niliwah kumwambia kijiji nachotokea(ndani ya iringa)aisee kuna siku sina hili wala lile nilimkuta nyumbani kwa mzee wangu kaleta mtoto....ni hadithi ndefu sana ila nilisusiwa mtoto ambaye kwa sasa ni mtu mzima sasa

Kataa hiyo kitu kwa faida yako,familia yako na hiyo ndoa yako yenye fulaha ndgu yangu
Thanks for sharing your experience.
Ubarikiwe mkuu kwa ushauri mzuri sana.
 
Ushuhuda:

Nimezaa na mwanamke ambaye ana maisha mazuri tu na yeye alinishawishi hivyo hivyo kuwa sitokusumbua kuhusu malezi ya mtoto nahitaji uniachie alama tu ya mbegu yako.

Kizaa zaa kilianza alipokuwa mjamzito Mara anapiga simu Saa sita za usiku uzuri simu nilikuwa sizimi naweza silent mode. Nikiamka asubuhi nakuta missed calls zake na SMS za kutosha tena lawama na matusi ya nguoni kwangu na mke wangu.

Ikanibidi niwe nazima simu ili kumkwepa yeye maana nilihofia ipo siku atapiga simu imkute make wangu yupo macho akiona ule mwanga wa simu anaweza kuipokea au kuniamsha niipokee ikawa gharika bure.

Alipojifungua akawa analazimisha niende kulala kwake angalau siku moja kwa mwezi nalo ikawa shida ugomvi mpaka sasa hivi mtoto ana miaka mitatu hatuna mawasiliano mazuri na maelewano yetu ni dhaifu sana.

Ninachoshukuru ni kuwa hapajui kwangu maana alishasema siku akipajua tu siku hiyo atakuja kujitambulisha kwa mke wangu ili ajue kuwa wapo wawili.

Ujumbe ninaotaka uupate hapa mkuu ni kuwa bora uachane na huyo mwanamke tu vinginevyo atakusumbua sana baadaye na ndoa utakuja kuiona chungu kwa tamaa ya muda mfupi tu.

Usije sema sijakuambia.

Take it from me
 
Utajutaa aliniambia anaweza kula ugali kwa kurumangia na kachumbari. Mambo yakiwa magumu wale viumbe wana zungumza Chochote
 
Kweli nimeamini kwenye miti hakuna wajenzi..... tehteehh
Baada ya kutembelea mji mmoja nilbahatika kukutana na Bint mwenye maisha/Biashara zake.

Baadaya muda tulianza mahusiano lakin nilimuambia ukwl kuwa nina mke na ni Baba wa mtoto mmoja,
tuldet naye mara mbil tu kwa miez miwl tofaut nilienda mwaka jana mwez 9 ndo mwez ambao mahsiano Yalianza na nikaenda mwz 10 baada ya hapo sjaenda tena maana nilcho kifata nilkamisha.

Cha ajabu mwez huu yaan Jana saa 2:45pm kanpigia sm ananiomba Tuzae me nikamwambia ukwl siwz tunza Nyumba mbil I mean kulisha hku na hku kasma kuhsu hlo nisjal atahdumia kila kitu labda akiugua tu ndo nawza lazmika Changia Napo kwa 25% tu.
Nimemwambia subr nilfkirie wana Jf Naomba mawazo yenu nikubal na Je wife akjua? Japo yupo mbal ila hii Dunia hamna sir ya watu wawl


Nb: Ndoa yangu ni moja kat ya Ndoa zenye furaha Dunian
 
Baada ya kutembelea mji mmoja nilbahatika kukutana na Bint mwenye maisha/Biashara zake.

Baadaya muda tulianza mahusiano lakin nilimuambia ukwl kuwa nina mke na ni Baba wa mtoto mmoja,
tuldet naye mara mbil tu kwa miez miwl tofaut nilienda mwaka jana mwez 9 ndo mwez ambao mahsiano Yalianza na nikaenda mwz 10 baada ya hapo sjaenda tena maana nilcho kifata nilkamisha.

Cha ajabu mwez huu yaan Jana saa 2:45pm kanpigia sm ananiomba Tuzae me nikamwambia ukwl siwz tunza Nyumba mbil I mean kulisha hku na hku kasma kuhsu hlo nisjal atahdumia kila kitu labda akiugua tu ndo nawza lazmika Changia Napo kwa 25% tu.
Nimemwambia subr nilfkirie wana Jf Naomba mawazo yenu nikubal na Je wife akjua? Japo yupo mbal ila hii Dunia hamna sir ya watu wawl


Nb: Ndoa yangu ni moja kat ya Ndoa zenye furaha Dunian
You better negotiate on your own, think teice, think rationally and very critical about the future life of your kid,

Mda mwingine anaeza kukuomba hivyo kumbe naye kashapachikwa na mwingine, ila sasa kinachobaki ni ujichengetu akubambikizie ili apate wakulea naye hiyo mimba na mtoto.

Hebu jitambue nduguyangu, amka kifikra.
 
Baada ya kutembelea mji mmoja nilbahatika kukutana na Bint mwenye maisha/Biashara zake.

Baadaya muda tulianza mahusiano lakin nilimuambia ukwl kuwa nina mke na ni Baba wa mtoto mmoja,
tuldet naye mara mbil tu kwa miez miwl tofaut nilienda mwaka jana mwez 9 ndo mwez ambao mahsiano Yalianza na nikaenda mwz 10 baada ya hapo sjaenda tena maana nilcho kifata nilkamisha.

Cha ajabu mwez huu yaan Jana saa 2:45pm kanpigia sm ananiomba Tuzae me nikamwambia ukwl siwz tunza Nyumba mbil I mean kulisha hku na hku kasma kuhsu hlo nisjal atahdumia kila kitu labda akiugua tu ndo nawza lazmika Changia Napo kwa 25% tu.
Nimemwambia subr nilfkirie wana Jf Naomba mawazo yenu nikubal na Je wife akjua? Japo yupo mbal ila hii Dunia hamna sir ya watu wawl


Nb: Ndoa yangu ni moja kat ya Ndoa zenye furaha Dunian
ukizaa nae utazidisha upendo home zaidi, amini hilo.....! usipoteze nafasi, sisi wanaume tupo wachache wenye kutia mimba, shauri yako....
 
ndoa yako haina furaha ila imejaa unafiki na hofu sababu unajua fika wewe unamchepuko na hofu yako wife asijue
Baada ya kutembelea mji mmoja nilbahatika kukutana na Bint mwenye maisha/Biashara zake.

Baadaya muda tulianza mahusiano lakin nilimuambia ukwl kuwa nina mke na ni Baba wa mtoto mmoja,
tuldet naye mara mbil tu kwa miez miwl tofaut nilienda mwaka jana mwez 9 ndo mwez ambao mahsiano Yalianza na nikaenda mwz 10 baada ya hapo sjaenda tena maana nilcho kifata nilkamisha.

Cha ajabu mwez huu yaan Jana saa 2:45pm kanpigia sm ananiomba Tuzae me nikamwambia ukwl siwz tunza Nyumba mbil I mean kulisha hku na hku kasma kuhsu hlo nisjal atahdumia kila kitu labda akiugua tu ndo nawza lazmika Changia Napo kwa 25% tu.
Nimemwambia subr nilfkirie wana Jf Naomba mawazo yenu nikubal na Je wife akjua? Japo yupo mbal ila hii Dunia hamna sir ya watu wawl


Nb: Ndoa yangu ni moja kat ya Ndoa zenye furaha Dunian
 
Back
Top Bottom