lewiathan
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 211
- 290
Baada ya kutembelea mji mmoja nilibahatika kukutana na Binti mwenye maisha/Biashara zake.
Baada ya muda tulianza mahusiano lakini nilimuambia ukweli kuwa nina mke na ni Baba wa mtoto mmoja.
Tuli-date mara mbii tu kwa miezi miwili tofauti nilienda mwaka jana mwezi 9 ndio mwezi ambao mahusiano yalianza na nikaenda mwezi wa 10 baada ya hapo sijaenda tena maana nilichokifuata nilikamilisha.
Cha ajabu mwezi huu yaani Jana saa 2:45pm kanpigia simu ananiomba tuzae mimi nikamwambia ukweli siwezi kutunza nyumba mbili I mean kulisha huku na huku, akasema kuhusu hilo nisijali atahudumia kila kitu labda akiugua tu ndo naweza lazimika kuchangia napo kwa 25% tu. Nimemuomba asubiro nilifkirie.
WanaJF naomba mawazo yenu nikubali?
Je, wife akojua Japo yupo mbali ila hii dunia hamna siri ya watu wawili.
Nb: Ndoa yangu ni moja kat ya Ndoa zenye furaha Dunian
Baada ya muda tulianza mahusiano lakini nilimuambia ukweli kuwa nina mke na ni Baba wa mtoto mmoja.
Tuli-date mara mbii tu kwa miezi miwili tofauti nilienda mwaka jana mwezi 9 ndio mwezi ambao mahusiano yalianza na nikaenda mwezi wa 10 baada ya hapo sijaenda tena maana nilichokifuata nilikamilisha.
Cha ajabu mwezi huu yaani Jana saa 2:45pm kanpigia simu ananiomba tuzae mimi nikamwambia ukweli siwezi kutunza nyumba mbili I mean kulisha huku na huku, akasema kuhusu hilo nisijali atahudumia kila kitu labda akiugua tu ndo naweza lazimika kuchangia napo kwa 25% tu. Nimemuomba asubiro nilifkirie.
WanaJF naomba mawazo yenu nikubali?
Je, wife akojua Japo yupo mbali ila hii dunia hamna siri ya watu wawili.
Nb: Ndoa yangu ni moja kat ya Ndoa zenye furaha Dunian