maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,144
- 15,144
Dogo alikua anacheza na wenzake akaitwa na dingi yake aliekua amejipumzisha chini ya mti mambo yakawa hivi...
Dingi..' we nanii....'
Dogo...'naaaaaaaaaaam'
Dingi....' hebu kaniletee maji ya kunywa ndani haraka'
Dogo akaenda ndani fasta... zikapita dak. 5 kimya... dak. 10 kimya... dingi akakumbuka kamtuma dogo maji akaamua kuita tena
Dingi...'we naniii' .... Kimya.... we nanii... Kimya....
Dingi akaamua kwenda ndani kujua kulikoni.....
He!
dogo amelala....
Dingi..' we nanii....'
Dogo...'naaaaaaaaaaam'
Dingi....' hebu kaniletee maji ya kunywa ndani haraka'
Dogo akaenda ndani fasta... zikapita dak. 5 kimya... dak. 10 kimya... dingi akakumbuka kamtuma dogo maji akaamua kuita tena
Dingi...'we naniii' .... Kimya.... we nanii... Kimya....
Dingi akaamua kwenda ndani kujua kulikoni.....
He!
dogo amelala....