kakamtumishi
Senior Member
- Jun 18, 2016
- 192
- 240
hili ndo tatizo la kuendekeza ngono
na kufanya ngono ndo kila kitu
hata mengine huwazi
na kufanya ngono ndo kila kitu
hata mengine huwazi
Limbuken huyo anajifunza mapenz huyoKwani mlipanga kwny basi umtie madole au?!
mmmmhKwani mlipanga kwny basi umtie madole au?!
mmmmh
Upo...long time no see..!Ha ha ha ha haaaaa mtongoze upya
toto saana mi nashindwa kukomenti chochoteWakuu,
Nina mgogoro wa nafsi hapa naona bora niwashilikishe kwa mawazo yenu.
Mchumba/kidoshodosho wangu kanikwaza kweli leo.Tulisafiri wote kutoka Mtwara kuja Dar na basi ya Tashrif.
Tulipanga mengi ambayo tutayafanya tukiwa safarini ili kufanya penzi letu liwe mubashara hadi nilishikwa na mchecheto na kumlipia na nauli.
Nilichokishuhudia baada ya kuanza safari ndo kimenileta kwenu wakuu hapa,ile tumetoka hata Mikindani hatujafika kwa wenyeji nahisi mnaelewa, alidondosha usingizi pono anasingiziwa nilimuacha labda nilijua uchovu wa jana na kazi za kwao lakini hadi Lindi hollah hajaamka.
Tulivyofika Kilanjelanje bado anambonjika tu namuamsha anachokisema hakieleweki, tumefika hotelini Starcom-Nangurukuru nimenunua mapochopocho ili nikajichane na mtoto eti kula akagoma anasema akila njiani anatapika daah wakati aliniahidi hadi kunilisha.
Kidume nikafakamia menu ya wawili hadi imeisha yeye ni analala tu hadi nimeshuka Mbagala sijaambulia chochote zaidi ya mimate yake iliyokuwa yamchuruzika alivyolala. Hata stori hatujapiga safari yote daaah, hapa najiuliza kwanini aliniaminisha yote yale? Nidai nauli yangu au nivunje bond kabisa?
Ushauri wenu tafadhali