mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,493
- 767
Team..hop mpo salama.nina uhusiano na bnt takrban miaka mi3..nimemsoma na kila niktaka kuamua nimuoe roho ikasita,hasa baada ya kumshrkisha Mungu..nikafanikiwa kuanzsha Uhusiano mwngne pemben lakn kbl cjalala nae nikaamua kumpa ukwel bnt kua cpo tyr kuish nae kwa sababu za msingi...bas bnt ndo bif likaanza,akatafuta namba ya bnt mpya,akampa maneno meng sn ya uongo na ukwel...akadai ameamua 2kose wte..bnt mpya nimeongea nae ila ni mpole na anadai hayupo tyr kulumbana au kugombea mme...anampgia kwa cku mara 5 kumkanya bnt mpya anipge chn...nimechanganyikiwa....mi pia cpend maugomv am so down yani...niache wth my lyf if ur here,peacefuly