Kaniaribia

mkonowapaka

JF-Expert Member
Feb 19, 2010
1,493
767
Team..hop mpo salama.nina uhusiano na bnt takrban miaka mi3..nimemsoma na kila niktaka kuamua nimuoe roho ikasita,hasa baada ya kumshrkisha Mungu..nikafanikiwa kuanzsha Uhusiano mwngne pemben lakn kbl cjalala nae nikaamua kumpa ukwel bnt kua cpo tyr kuish nae kwa sababu za msingi...bas bnt ndo bif likaanza,akatafuta namba ya bnt mpya,akampa maneno meng sn ya uongo na ukwel...akadai ameamua 2kose wte..bnt mpya nimeongea nae ila ni mpole na anadai hayupo tyr kulumbana au kugombea mme...anampgia kwa cku mara 5 kumkanya bnt mpya anipge chn...nimechanganyikiwa....mi pia cpend maugomv am so down yani...niache wth my lyf if ur here,peacefuly
 
rekebisha heading isomeke "sijatulia" au at least "nimejiharibia". ushauri baadae
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Unachekesha kweli wewe!Yani wewe ndo unaewachanganya alafu unamsingizia dada wa watu 'amekuharibia'? Ulishindwa nini kumuacha kabla yakutafuta mwingine?Acha uhuni kijana ngoma inaua.
 
Mkuu,

Pole sana.lakini mpaka mlipoanza ku-date si mliafikiana?kama uliona mambo yanakushinda si mngekaa chini?Vipi uliingia kwenye uhusiano mwingine at the same time hujamalizana na yule mwingine?
 
Team..hop mpo salama.nina uhusiano na bnt takrban miaka mi3..nimemsoma na kila niktaka kuamua nimuoe roho ikasita,hasa baada ya kumshrkisha Mungu..nikafanikiwa kuanzsha Uhusiano mwngne pemben lakn kbl cjalala nae nikaamua kumpa ukwel bnt kua cpo tyr kuish nae kwa sababu za msingi...bas bnt ndo bif likaanza,akatafuta namba ya bnt mpya,akampa maneno meng sn ya uongo na ukwel...akadai ameamua 2kose wte..bnt mpya nimeongea nae ila ni mpole na anadai hayupo tyr kulumbana au kugombea mme...anampgia kwa cku mara 5 kumkanya bnt mpya anipge chn...nimechanganyikiwa....mi pia cpend maugomv am so down yani...niache wth my lyf if ur here,peacefuly

utavuna unachopanda wacha kutesa roho za wadada!
 
Unachekesha kweli wewe!Yani wewe ndo unaewachanganya alafu unamsingizia dada wa watu 'amekuharibia'? Ulishindwa nini kumuacha kabla yakutafuta mwingine?Acha uhuni kijana ngoma inaua.

Hakuna cha ajabu sn au jipya...km umenielewa vzur ckua nimeanza mapenz na msichana wa pili..na am very systematic kwny maamuz yangu.nimemuacha kihalal na mctake kunihuku.cha mcng apa why hatak kukubal stuation kwmb simuhtaji..na aheshmu uhusiano wngu mpya.cmpo.by tha way She is nt yf material enaf kwangu.
 
Hakuna cha ajabu sn au jipya...km umenielewa vzur ckua nimeanza mapenz na msichana wa pili..na am very systematic kwny maamuz yangu.nimemuacha kihalal na mctake kunihuku.cha mcng apa why hatak kukubal stuation kwmb simuhtaji..na aheshmu uhusiano wngu mpya.cmpo.by tha way She is nt yf material enaf kwangu.

Maana ya KUANZISHA MAHUSIANO MENGINE PEMBENI ni nini?!Au sio wewe uliyeandika hayo maneno?
 
Maana ya KUANZISHA MAHUSIANO MENGINE PEMBENI ni nini?!Au sio wewe uliyeandika hayo maneno?
nalog out kidogo. nikilejea naomba huyu mkonowasungura awe umeshamwelewesha makosa yake adhawaizi skutoi dinner jumamosi hii.
 
nalog out kidogo. nikilejea naomba huyu mkonowasungura awe umeshamwelewesha makosa yake adhawaizi skutoi dinner jumamosi hii.

Ahh mtu mwenyewe ameshaaza kukana maneno yake mwenyewe..hatuwezi kufika popote.Ngoja nilale mie...niletee chips na mishkaki ukiwa unarudi.
 
Team..hop mpo salama.nina uhusiano na bnt takrban miaka mi3..nimemsoma na kila niktaka kuamua nimuoe roho ikasita,hasa baada ya kumshrkisha Mungu..nikafanikiwa kuanzsha Uhusiano mwngne pemben lakn kbl cjalala nae nikaamua kumpa ukwel bnt kua cpo tyr kuish nae kwa sababu za msingi...bas bnt ndo bif likaanza,akatafuta namba ya bnt mpya,akampa maneno meng sn ya uongo na ukwel...akadai ameamua 2kose wte..bnt mpya nimeongea nae ila ni mpole na anadai hayupo tyr kulumbana au kugombea mme...anampgia kwa cku mara 5 kumkanya bnt mpya anipge chn...nimechanganyikiwa....mi pia cpend maugomv am so down yani...niache wth my lyf if ur here,peacefuly

Tuwe tunaogopa kumtaja bure Mungu jamani,so ulivo mshirikisha ndo alikushauri utafute msichana wa pembeni?
 
Unachekesha kweli wewe!Yani wewe ndo unaewachanganya alafu unamsingizia dada wa watu 'amekuharibia'? Ulishindwa nini kumuacha kabla yakutafuta mwingine?Acha uhuni kijana ngoma inaua.


Nina wasiwasi kama huyu bwana mdogo anajua anachihitaji zaidi ya uzinzi tu.... kwanini hukumuacha kwanza ndio utafute mwingine??? Ila hiyo isikutie hofu piga chini wote anza kutafuta upya... ukikaa na maganzi mwaka hutokufa wanawake wasikusumbue akili yako mpaka unakuwa down wakati wako wengi sana!!! Ila ukianza tena kutafuta usiupe nafasi uzinzi!!!
 
Mnanchakachulia thread....tatzo mkiambiwa ukwel mnajifanya wajuaaji...hamuna lolote.hbr ndio hyo apo juu km vp mripit again kusoma...nasubr ushaur mwenzenyu....kwan dhamb lakn?m2 hayupo kuolewa,na mkirejea post zangu nilishamlipua apa mkasema niachane nae...kuacha ni styl,.tn nimemueshm sn.
 
Mnanchakachulia thread....tatzo mkiambiwa ukwel mnajifanya wajuaaji...hamuna lolote.hbr ndio hyo apo juu km vp mripit again kusoma...nasubr ushaur mwenzenyu....kwan dhamb lakn?m2 hayupo kuolewa,na mkirejea post zangu nilishamlipua apa mkasema niachane nae...kuacha ni styl,.tn nimemueshm sn.

Lugha yako tu inanichanganya.!!! Will be back
 
Tuwe tunaogopa kumtaja bure Mungu jamani,so ulivo mshirikisha ndo alikushauri utafute msichana wa pembeni?

Mi naona ww ndo hutak kuelewaNimesema hv baada ya kuona kua mwanamke nilie nae hawez kua mke wangu(kwa vgezo vyangu vya upole na ucha mungu)...niliamua nianze kujitoa mpm.on tha proces nikawa rafk na bint mwngne bla tendo la ndoa(ili uelewe)..nilimpa situatn yangu na imediately yule wa zaman nilimpa laiv...na had sasa bdo ata cjala tunda jpya,m nt afta ngonoby tha way.NATAFUTA MKE!
 
Mnanchakachulia thread....tatzo mkiambiwa ukwel mnajifanya wajuaaji...hamuna lolote.hbr ndio hyo apo juu km vp mripit again kusoma...nasubr ushaur mwenzenyu....kwan dhamb lakn?m2 hayupo kuolewa,na mkirejea post zangu nilishamlipua apa mkasema niachane nae...kuacha ni styl,.tn nimemueshm sn.
Kama maelezo yako tu yanakushinda kuelewa ushauri ndo utaweza?Sidhani!
 
Mbona unanichokoza wewe?Nna njaa ya kufa mtu alafu hata harufu ya hiyo kitu sijasikia tangu ipande bei.

Ha ha ha! ! ! Sasa hivi natia pili pili na Green Salad,njoo bwana.....Acha hizo chipsi mimi nitakuongezea tupate hii kitu.

Kweli unapenda,usingizi umepotea.Naona umekuwa active mbaya!
 
Mi naona ww ndo hutak kuelewaNimesema hv baada ya kuona kua mwanamke nilie nae hawez kua mke wangu(kwa vgezo vyangu vya upole na ucha mungu)...niliamua nianze kujitoa mpm.on tha proces nikawa rafk na bint mwngne bla tendo la ndoa(ili uelewe)..nilimpa situatn yangu na imediately yule wa zaman nilimpa laiv...na had sasa bdo ata cjala tunda jpya,m nt afta ngonoby tha way.NATAFUTA MKE!

So clear,then bora unge mwambia yule wa zamani kabla hujaanza kutafuta!
Maana ni kama ulitaka akiwa ana umia wewe uwe na pa kujishkiza,but ji tigo(express your self ) vizuri kwa huyo mpya atakuelewa tu!
All the best
 
Back
Top Bottom