pamoja ya hayo, wewe mwanaume jikaze...
ukimwi sio kitu cha mchezo mchezo anaweza kufa kihoro
haya bwana kila la kheriyaahh ofcourse mi am strong....cjutii sababu kwa asilimia fulani nimewasaidia watakao kuwa wapenz wake mbeleni....au?
sijagegedana nna miezi6 sasasasa anungegedana wakati ni muoga wa ukimwi ....u must be ready to face the consequences of ur decisions
Mkuu usimtulize mwache achezee kichapo tu hawana maana hawa wadudentamtuliza mkuu lkn mpka kesho kutwa nadhan
Salaam....
Ni mwanamke niliyedumu nae kimahusiano kwa takribani miaka mitatu.
kiukweli sikuwahi kushuhudia wala kuskia hata kwa watu kwamba ananicheat.
Nikajipa moyo kuwa hapa nimepata na tulienda kwa mipango mingi sana ambapo mingine imetimia na mingine bado ilikua njiani kutimia.
Sasa jumatatu iliyopita kafika gheto bhana....kama kawaida ikabidi tuchujane protin bila uwoga....lakin kipindi tunachujana alikua anatoa harufu mbaya sana na kali sana kwnye marighafi yake, na ingawa ilinikera lkn sikujali...
na sikuhitaji kumuuliza mana nilihusi uwenda angejiskia vibaya na ningemkwaza....bs nikavumilia mpka mwisho wa show.
Sasa ijumaa usiku nimekaa kitandani nashangaa uume wangu unatoa vitu kama usaa tena kwa mfululizo....kwenda kukojoa nashangaa napata maumivu makali sana kwnye mrija wa kutolea mkojo....jumatatu nimeenda kucheck afya na kugunduluka nina gonorrhea a.k.a kisonono..nlidata. Sijasex na mtu yoyote kwa mda mrefu sana na mtu yeyote zaidi yake kwa mwaka mmoja na nusu hv.
Ugonjwa huu unaambukiza kwa kufanya mapenzi tu...sasa mpnz wangu kaupataje....kwa akili ndogo tu nikagundua amenicheat na si ajabu anafanya hivo tangu kitambo.
Leo mida ya saa tano nimempigia simu na kumtaarifu kuwa asinijue yani mim na yeye basi...na nimempa sababu kwamba ameniambukiza gonorrhea....ingawa nlicheck na sikukutwa HIV lakin ili kumkomoa nimemwambia pia nimekutwa na virusi vya ukimwi..
Sa hv nimepokea msg zaidi ya kumi za dada na kaka zake kuwa kachanganyikiwa anataka kujiua
Mi sijajibu kitu coz amsure kujiua hawez ila chamoto atakiona.
Wasaalam.
sijagegedana nna miezi6 sasa
ha hahahaha wewe mwambie akapate dawa[emoji13] [emoji13] ye si alikua anaona kukatikia watu ovyo
Pole sana Mkuu, lakini kuhusu HIV kumbuka kupima mara 3 kila baada ya miezi mitatu ndo urithike kuwa uko salama.ahsante sana....nipo kwnye tiba sasa hv.
Dah. Mkuu umetisha nimecheka hadi mbavu zimeumaTeh teh teh! mwambie na CD4 zake zitaanza kushuka next week,aanze kunywa dawa[emoji3][emoji3]
[emoji13] [emoji13] nimecheka sana.....""et mafua ya chini""Pumbavu. Kwani ulikuwa unamkamulia mi protein kwa mkataba gani ? Kama ulikuwa wamuhitaji miaka mitatu ulishindwa nini kumbinafsisha ? Hujui kuwa kwa ku hang nae kama Malaya alikuwa naye anatafuta wa kumweka ndani ? Na akitafuta unadhani nani anataka mbuzi kwenye gunia ? Naamini kinachomtesa sio kumwacha Bali kumdanganya kuwa umekutwa HIV +
Yakupasa toba kwa hilo na mpigie mwambie ulikutwa na mafua ya chini na sio virus
Ukweli ni kuwa unaugua ugonjwa wa Mbwa na unatibiwa kwa madawa ya Mbwa.
Hufai tena kwa matumizi ya wanawake
[emoji2] [emoji3] [emoji113]Dah. Mkuu umetisha nimecheka hadi mbavu zimeuma