Kaniacha bila sababu, moyo unaniuma

Kwa yale uloyatenda ukifikiri ni mazuri yeye aliyaona mabaya. Mfano umefanya naye tendo la ndoa kabla ya kuoana, huoni kwamba hilo ni baya? Yako mengi ulotenda ambayo ni mabaya sana. Usirudie kujidanganya kwamba mtu anakupenda.
 
Hahahaa hii mistari inakufaa
Kero na mashaaaka tele
Ugomvi kutwa nzimaaa
 

jichunguze kwanza je mnaendana sio unalaumu tu labda huyo sio type yako.
 
Hata mm gash wangu wa kitambo aliniziungua kama ivo nkapiga chini,nkapata wa rangi yangu aaah safi,bro huyo kwa maoni yangu hakufai basi
 
Nilitaka nikupuuze tu kwa kuleta hii mada yako eti unaumia sana kisa umeacha na msichana wako.....kwani ulimuoa sasa anadai kugawana mali? Wewe inaonyesha uelewa wako katika masuala ya mahusiano ni level ya mbio za Kobe. Mzito kuelewa mambo.....pia huna maamuzi sijui utakuja kuwa baba wa namna gani baadaye. Acha kujilegeza mwanamke anapenda mwanaume IMARA sio wewe umemaliza college/university bado unashindwa kufanya decision jambo dogo kabisa.

Mwambie hako kasichana kako wewe ni shenzi kuanzia leo sitaki MAHUSIANO na wewe. Ukishindwa endelea kulialia.
 
aisee' ndugu" huyo mpenzi wako atakuumiza kichwa" inaonekana huyo mpenzi wako anampenda mwanaume mwingine zaidi ya wewe" na huyo mwanaume hampendi kabisa huyo mpenzi wako tena inaonekana akisha mtafuna anakua hana muda nae ndio maana mpenzi wako ukimchunia anarudia kukuomba msamaha" lakini yule jamaa akirudisha tena mawasiliano kwa mpenzi wako kwa sababu ya kumaliza haja yake ya mwili demu wako akua jeuri" tahadhari ukiendelea kum'nga'ngania utakuja kupandikiziwa mimba ndio utachanganyikiwa zaidi kuliko sasa" ushuri wangu ni wewe kuachanae kabisa" siku moja akili yako itazoea na utamuona wa kawaida kama una nafasi ya kufanya kazi za nguvu zifanye ili kuuchosha mwili na ukifika home we' ni usingizi tu' asubui ukiamka hivyo hivyo akili itazoea na kisha ataondoka mawazoni kwako!
 
Poleeee mkuu kwan kupendapenda ndio nn mkuu mind ur honourable time and happy life kwan yye nan til akuendeshe kama gari bovu au wwe story mingiii practical - ve
 
Ushaniudhi... Umesomea nini na umesoma wap??
Kuna mambo mengi sana ya kufanya japo mapenzi yapo ila sio kwa style hii!

FYI, statistics zinaonesha kua wanawake wako/ wanaweza kua zaid mara 3 ya wanaume.
Wakwako yupo somewhere waiting for u... mimi pia namsubiria wakwanguu maana sitaki ujinga tenaa
 
Huyo hakufai na inawezekana kunajamaa mwingine yeye anayemkubali zaidii kuliko ww tafuta mwingine utampata tu na huyo utamsaahau kabisa
 
Ndugu zangu.. nimeongea nae leo mchana. Kaniambia kosa langu ni kwa sababu nilimuuzi jana ucku wakati nilipomuuliza kwa nini hakupokea simu wala kujibu sms yangu? Eti ndio kosa... langu.

Alafu.. yeye kaniambia kuwa mimi huwa namletea stress sana. Nikijiangalia ni stress gani sizioni. sion sababu.. sioni chanzo ya mimi kumletea stress...

Nimekuwa nikimsaidia sana.. kwenye shughuli zake.. mpaka ndugu zake wanashangaa..
mapenz yangu.. misaada yangu leo inaitwa stress...?

Huyu si alikuwa ananitafutia tu sababu ya kuniacha?
 
Feitty.. yaani inauma unampendanmtu alafu anakuona kikaragosi.
Ila basi yameshatokea.. labda Mungu kaniepushia tatizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…