Kangi Lugola: Video ya Gwajima ni ya kutengeneza, na tumeshakamata watu wawili

Vipi tukisema iyo picha ya video uliyotuma ndio imeeditiwa....video hajasambaza yeye Bali imevujishwa
 
Shangaa hata wewe, starehe apate mwingine, halafu mpopoma eti imeunganishwa , hawajui wazinzi huyu
Kuna mtu aliuliza kichwa kilichoungwa kinapiga denda ndio G au kiwiliwili kinachopiga mauno ? Kipi cha kwake kichwa au kiwiliwili?
 

Kazi kwelikweli
 
PALE ASKOFU ANAPOWEZA KUTOFAUTISHA PORN OG NA FAKE! INA MAANA ANAZIJUA OG NA NI MPENZI MZURI WA HAYO MAKITU.
 
Mbona yeye kaikubali hii clip ila kasema ni ya zamani na ilikuwa ni private pic kwa nyumbani tu kifamilia, aliyoikataa(strangely though) ni ile anamgegeda mtoto watu.
Sasa unakataa vipi video clip ambayo muhusika ameikiri kuwa ni yeye au ndiyo bora kutetea tu? Inatumika nguvu kubwa sana kumtetea jambo linalosababisha watu wazidi kuamini ya kuwa ni yeye.
 
Inafurahisha unapokuta bado tuna Wananchi wanaweza kusema kweli hata kama ni kwenda kinyume na mtazamo wa wengi bila kujali matokea, hii ndio aliosema Baba wa Taifa kusimamia ukweli hata kama you have to pay the price for doing so!!! Nakuunga mkono mtoa uzi.

Kumekuwa na maswali mengi sana kuhusu haya makanisa ya sasa ambapo waumini maskini wanajazana kwenye mabasi na kutembea kwa miguu kwenye jua kali kwenda kwenye ibada halafu wachungaji wakiendesha magari ya fahali kupindukia (eg Hummel etc) na wengine kuwa na mpaka ndege binafsi. Hawa wachungaji Maisha yao ni kama celebrity ye yote kwenye jamii yetu bila kujali kazi au tasnia ya shughuli yake ya kutafuta Maisha au kipato. Umetoa mifano ya wasanii kama Wema Sepetu, Diamond, nk ambao mtindo wa Maisha yao hatushangai sana kuweza kufanya vitendo vya kupiga video za ngono, lakini hawa pia hupenda Maisha ya juu kama magari ya fahari, majumba ya fahari, nguo za gharama, nk. Kwenye hili hawana tofauti kabisa na wachungaji wetu wa sasa. Ukiliona hili huwezi leo kushangaa kuona kujipiga picha chafu za ngono kwa mchungaji. Na inawezekana hilo ni moja tu, kama ukifanya uchunguzi wa Maisha binafsi ya hao "watumishi wa Mungu" hutaweza tofautisha na ma celebrity wengine wowote wanaopata kipato chao kwa "kumtumikia shetani". Hapo ndipo tulipo sasa kidunia na haswa Afrika.

Sijui kama akitokea mtu na hoja ya kusema makanisa haya yanatumika kunyonya maskini kuwatajirisha hawa wachungaji ili waishi Maisha ya raha za kupindukia na utajiri wa kupindukia, kama atakuwa amekosea!!!
Na kwa upande mwingine serikali zetu zimekuwa kimya kabisa kwenye hili, haya makanisa na wachungaji wake wamekuwa sio wa kuguswa kabisa hata kama watasambaza video za ngono, hii inaitwa selective justice au kwa Kiswahili upendeleo mbele ya sharia. Hoja ya video kuwa sio kweli(edited) ni upuuzi uliopitiliza kiasi haufai hata kuutaja kama utetezi.

Naomba tukubaliana WaTanzania kuwa mtu mzima kama kakosea na tunaamua kumezea hilo sio kosa kwetu kupanga ni kuchagua na tunaweza kufunika kombe mwanaharamu akapita. Lakini sio kutufanya mitozeni eti kwa utetezi wa video editing. Kwa Maisha ya ki celebrity ya hawa "watumishi wa Mungu" hilo la video ya ngono sio jambo la kushangaza. Wanasema ukikuta anabweka basi jua huyo atakuwa Mbwa wala si paka. Sema ndio vile tu....
 

edited wapi?

kichwa kilikuwa kinapiga denda

kiwiliwili kilikuwa kina nanilii


ebu waza tena
 

hata wewe una udhalilisha ukristo kwa hii response yako

WWJD?

Ingekuwa Yesu ndio anasoma waraka huu WHAT WOULD JESUS DO?(angefanya nini?)

asingemuita mtu fala
 
"Polisi wamethibitisha video ya Gwajima ni ya kutengeneza. Tayari watu watatu (wanaotuhumiwa waliitengeneza), wanashikiliwa na Jeshi la polisi" KANGI LUGOLA - WAZIRI WA MAMBO YA NDANI.
Sasa mnataka tubishane nini? Kama hutaki hama hilo kanisa.

Lugola ana kesi na CAG kwanza alikurupuka, na may be yuko uchi

kama kwa akili zako timamu umemumini Lugola, kuna walakini hata watoto umebambikiziwa
 

sio editing ya kiwango kile na walioendelea wana edit sura tu!..au kupachika sura

GWAJIMA HANA MAADUI PEKE YAKE BANA...ACHENI HIZO TUNGEZIONA KILA SIKU MTAANI KWA WATU MBALIMBALI!!!!
 
Kuna vitu fulani si vya kuvishikia bango kiasi hicho. Haviathiri hata mlo wangu. Niko mbali mbugani, hata Gwajima simjui. Wanasema video iko edited ninakomalia kwamba video ni halisi utadhani dada yangu ndio alikuwa na Gwajima.
 
Hili nalo ni punda la gwajjma bila shaka
 
Nmefiria sana ulichokiandika nmewaza kuwa yawezekana ubongo wako ulipandikizwa na ubongo Wa nguruwe
 
Kama wewe ni expert nenda katumie huo uexpert kujiingizia kipato kwa faida ya familia yako na si kubishana mitandaoni kwa mambo yasio na msaada wowote kwako.
 
OOOKKKAAAYYYY Ni wazi kuwa aliekuwa ana rekodiwa aidha ni Gwajima au Sie video inathibitisha kwamba alitambua kabisa ana rekodiwa hasa pale alipojaribu kufunika camera kwa mkono wake na uso wake kuuelekeza wazi kwenye camera :

Swali 1.kama ni Gwajima je alikuwa na lengo gani ? na ili kumuonesha nani ? ili apate nini baada ya kazi hiyo alipwe ?

Swali 2. Tuchukulie kwamba ni Gwajima, Umjuavyo huyu askofu , ni kweli kila binadamu hajakamilika, Je ni mtu wa UJINGA KIASI HICHO ? Hata kama alilewa na mapenzi kupitiliza anaweza kufanya ujinga huo kwa level hiyo ?

Swali 3. Wewe mtoa mada ni nini nia yako halisi, ikithibitika kuwa ni Gwajima kweli utafaidika na nini kwa hilo ? Na ikiwa tofauti utapoteza nini ?

Labda uniambie Gwajima kwa kushirikiana na serikali ya Tanzania wamecheza Movie na wote askofu na serikali plus waziri wakaamua kuutupilia mbali hadhi zao zote ? ? lakini kwa faida gani ? na lengo lipi.

TUNAJADILI UJINGA MTUPU HAKUNA LOGIC HAPA AKILI FUPI TU
 
Mtu akikosa mrejesheni kwa upole mungu hadhihakiwi utamkosea mungu kutetea usichokijua kama kilikuwepo au hakikuwepo mwenye ukweli wake ni mungu wake na wa pili ni mkewe anayeufahamu mgongo wa mumewe na makovu yake huyo anaweza kuthibitisha juu ya picha hiyo sio mwingine yeyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…