MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 9,557
- 24,180
Salam Wakuu.
Kwenye MAWIO la leo, page 2 kwenye story ya UKAWA WAMFUKUZA ZITTO kuna habari ndani ya hii story kuwa Mh Kangi Lugola Mbunge wa Mwibara leo anatarajia kujiunga na Chadema pale Mwanza. Yeyote mwenye uhakika wa hii taarifa atumwagie tafadhali.
Kwenye MAWIO la leo, page 2 kwenye story ya UKAWA WAMFUKUZA ZITTO kuna habari ndani ya hii story kuwa Mh Kangi Lugola Mbunge wa Mwibara leo anatarajia kujiunga na Chadema pale Mwanza. Yeyote mwenye uhakika wa hii taarifa atumwagie tafadhali.