Kangi Lugola alitumbuliwa kwa sababu ya kwenda kukopa nje

Elitwege

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
5,154
10,809
Screen Shot 2021-11-09 at 11.38.41.png

Screen Shot 2021-11-09 at 11.39.41.png


Kangi Lugola akiwa waziri wa mambo ya ndani alitumbuliwa na hayati rais Magufuli kwa kosa la kuingilia kazi ya waziri wa fedha Dk Mpango kwenda kukopa nje.

Kwenye serikali ya awamu ya tano aliyekuwa anaruhusiwa kukopa kwa niaba ya nchi ni waziri wa fedha tu.

Kwa hiyo huo uongo wa kina Nape hauna mashiko na uzuri Dk Mpango bado yupo
 
Deni limeongezeka kutoka dola bilioni 7 za miaka kumi ya Kikwete mpaka dola bilioni 9 za miaka mitano ya JPM, kwa mujibu wa Nape bungeni jana.
 
Deni limeongezeka kutoka dola bilioni 7 za miaka kumi ya Kikwete mpaka dola bilioni 9 za miaka mitano ya JPM, kwa mujibu wa Nape bungeni jana.
Hapo kwa kikwete Nape aliamua kuongopa, kikwete alikopa dola bilion 11 na sio 7. Ila kasema kweli kwa jiwe, jiwe lilikopa dola bilion 9
 
Uzuri ni kwamba kazi ya mikopo na matokeo yake pia tunayaona.

Hawa kina Nape na kundi lake la wana Lindi wanatafuta upenyo wa kuonwa na mama yao Samia.

Nchi hii unafiki unatufikisha pabaya sana,ndio maana Kibajaji kaamua kuwapa ukweli wao live.
 
Magufuli yeye matumizi yake ya hovyo yalikuwa yakiidhinishwa na bunge lipi? Miaka yake mitano amekopa kuliko alivyokopa Kikwete kwa miaka kumi.
 
Magufuli yeye matumizi yake ya hovyo yalikuwa yakiidhinishwa na bunge lipi? Miaka yake mitano amekopa kuliko alivyokopa Kikwete kwa miaka kumi.
Taja hayo matumizi ya hovyo
 
Taja hayo matumizi ya hovyo
1. Alianzisha mradi wa kununua wapinzani.

2. Alijenga uwanja wa ndege kijijini kwake pasipo vigezo.

3. Alichukua pesa nyingi (1.5 trilioni) akapeleka usalama wa taifa ili kupambana na wapinzani kwa kutumia wasiojulikana.

4. Alianzisha mradi wa kununua ndege bila feasibility study yoyote na matokeo yake sasa Atcl ni msalaba kwa nchi.

5. Aliamua kuhamishia makao makuu kwenda Dodoma wakati uchumi haustahimili.
 
View attachment 2004058
View attachment 2004056

Kangi Lugola akiwa waziri wa mambo ya ndani alitumbuliwa na hayati rais Magufuli kwa kosa la kuingilia kazi ya waziri wa fedha Dk Mpango kwenda kukopa nje.

Kwenye serikali ya awamu ya tano aliyekuwa anaruhusiwa kukopa kwa niaba ya nchi ni waziri wa fedha tu.

Kwa hiyo huo uongo wa kina Nape hauna mashiko na uzuri Dk Mpango bado yupo
CCM inapokuwa mpinzani wa CCM
 
View attachment 2004058
View attachment 2004056

Kangi Lugola akiwa waziri wa mambo ya ndani alitumbuliwa na hayati rais Magufuli kwa kosa la kuingilia kazi ya waziri wa fedha Dk Mpango kwenda kukopa nje.

Kwenye serikali ya awamu ya tano aliyekuwa anaruhusiwa kukopa kwa niaba ya nchi ni waziri wa fedha tu.

Kwa hiyo huo uongo wa kina Nape hauna mashiko na uzuri Dk Mpango bado yupo
Kichwani mwako umejaza kitu gani?
 
View attachment 2004058
View attachment 2004056

Kangi Lugola akiwa waziri wa mambo ya ndani alitumbuliwa na hayati rais Magufuli kwa kosa la kuingilia kazi ya waziri wa fedha Dk Mpango kwenda kukopa nje.

Kwenye serikali ya awamu ya tano aliyekuwa anaruhusiwa kukopa kwa niaba ya nchi ni waziri wa fedha tu.

Kwa hiyo huo uongo wa kina Nape hauna mashiko na uzuri Dk Mpango bado yupo
Hatukuwa nje ya nchi, tulikuwa humuhumu Tanzania. Kwa hiyo tunajua Nani alikuwa anakopa Nani alikuwa rubber stamp, usituchanganye.
 
View attachment 2004058
View attachment 2004056

Kangi Lugola akiwa waziri wa mambo ya ndani alitumbuliwa na hayati rais Magufuli kwa kosa la kuingilia kazi ya waziri wa fedha Dk Mpango kwenda kukopa nje.

Kwenye serikali ya awamu ya tano aliyekuwa anaruhusiwa kukopa kwa niaba ya nchi ni waziri wa fedha tu.

Kwa hiyo huo uongo wa kina Nape hauna mashiko na uzuri Dk Mpango bado yupo
Kangi alimpa mgao kidogo dikteta na dikteta alikuwa anajua chenchi yote aliyopewa Lugo
 
Back
Top Bottom