Huyo Kandoro alikuwepo tu kama kiongozi japo alijitahidi. Huyu Lukuvi tumpe muda jamani wala hajakaa muda mrefu hadi tuanze kumtathimini kazi yake.
I wish Makamba angerudi tena kwenye ukuu wa hili jiji la Dar, huyu mzee ndio aliliweza hili jiji.
Tumpe muda?mpaka lini?Huu ni wakati wa vitendo,isitoshe kama kazi hii ilishaifanya,alikua RC Dodoma.
Dsm ni mwenyeji,ameishi buguruni sheli,
Uwezo wake ni mdogo tu
Mimi hata sioni kwa nini kandoro aliondolewa..
Huyu lukuvi hata sioni anachokifanya...
Na
kipindupindu kimerudi....wakati kandoro ali fanikiwa kukipiga vita....
Nyinyi mnaonaje????????
Tumpe muda?mpaka lini?Huu ni wakati wa vitendo,isitoshe kama kazi hii ilishaifanya,alikua RC Dodoma.
Dsm ni mwenyeji,ameishi buguruni sheli,
Uwezo wake ni mdogo tu
wakuu, mimi naona tunalinganisha nyanya na mabungo!!!
Kielimu - sina hakika elimu ya kandoro lakini lukuvi ne che (yaani amefulia kwenye elimu)!!
Kisiasa - lukuvi ni mwanasiasa zaidi
public appeal - kandoro yuko juu
majungu - mmoja zaidi
in short najaribu kusema kwamba lukuvi hakustahili kuwa mkuu wa mkoa wa dar kwani dar kama kitovu cha uchumi tulistahili mtu mwenye sifa zaidi ya lukuvi, alitakiwa mtu mwenye upeo wa maendeleo ya jamii, uchumi, mipang ulinzi na kichwa cha nguvu ili aendani na handi ya jiji
la sivyo tunaingiza siasa hata kwenye sehemu muhimu... Yaani tunaweka sekandari personnel kwenye sehemy inayohitaji gwinyi la maendeleo
kwa majungu yupi zaidi?
huu ndio upumbavu wa viongozi wetu na kutwa tunakesha kumjadili Rostam na Lowassa wakati tunaacha mambo ya msingi pale RC anapoamuru kila mwanafunzi aje na dawatilake shuleni ...huu ni ushenzi wa hali ya juu kabisa..maana yake nini.?