TAMKO
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 1,090
- 762
Mnipige mitamko mwenzenu jamani, Zamani kilikuwa kiatu fresh tu ila sasa mikandambili.. yaani ukiwa mchezoni inatelezateleza tu bila mpango wowote.. utam wote wa mchezo unatoweka.. ila ndo chako, na chako ni chako sasa na ukisema uende kutafuta kiatu nje ya uwanja, unaambiwa tanesko wameshatawanya miwaya yao ya umeme kila kona.. nani anataka shot zisizo na mpango umri wenyewe huu ushaenda.. hebu waungwana mnisaidie ntaifurahia vipi mechi na kandambili zangu.. ??