Kanda ya ziwa lazima itoe rais 2015

Kanda ya ziwa lazima itoe rais 2015

Pilitoni

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2011
Posts
1,201
Reaction score
515
Tumechoka kupuuzwa,tumechoka kunyonywa ndani ya nchi hii. Mwaka 2015 by any means lazima rais atoke kanda ya ziwa atakayesimamia raslimali zetu kwa mustakabali wa watu wetu wanaokumbwa na umaskini wa kutisha huku utajiri wa kutisha ukiwazunguka. Tuamke na tuache kufuata mkumbo kwa mambo yasiyo na tija kwetu
 
Umechoka kunyonywa na nani we gamba? Umetumwa kupima upepo?
 
Mada ya kipuuzi kbs hii. Hatuchagui rais kwa misingi ya ukabila, ukanda, udini wala rangi yake. Tunachagua mtanzania yeyote mzalendo,asiye na ubaguzi na mpenda haki na usawa.
 
Tumechoka kupuuzwa,tumechoka kunyonywa ndani ya nchi hii. Mwaka 2015 by any means lazima rais atoke kanda ya ziwa atakayesimamia raslimali zetu kwa mustakabali wa watu wetu wanaokumbwa na umaskini wa kutisha huku utajiri wa kutisha ukiwazunguka. Tuamke na tuache kufuata mkumbo kwa mambo yasiyo na tija kwetu

Rais wa nchi sio mtemi wa wasukuma, kajipange upya.
 
Rais wa nchi sio mtemi wa wasukuma, kajipange upya.

Kanda ya ziwa siyo lazima awe msukuma, lakini pia msukuma akiwa rais ni vibaya? Uadilifu na utendaji ndiyo vigezo tunavyoangalia
 
sisi wana-CCM tunasema hapana..

Yaani Wasira??!!..

sisi tunamtaka EL...Ili aje kupambana na ufisadi,ujangili,madawa ya kulevya..

Ikiwezekana waziri mkuu awe Kinana..

Kapuyer makamu wa Rais...

CCM oyeeee...
 
waziri mkuu awe Kinana..

Kapuyer makamu wa Rais...

CCM oyeeee...
Seconded, lakini pia Lusinde (ulinzi), Nkamia (foreign affairs), le Mutus (bandari na uchukuzi)
 
Tumechoka kupuuzwa,tumechoka kunyonywa ndani ya nchi hii. Mwaka 2015 by any means lazima rais atoke kanda ya ziwa atakayesimamia raslimali zetu kwa mustakabali wa watu wetu wanaokumbwa na umaskini wa kutisha huku utajiri wa kutisha ukiwazunguka. Tuamke na tuache kufuata mkumbo kwa mambo yasiyo na tija kwetu
Hiv kuna nchi inayoitwa kanda ya ziwa au ni akili yako ndogo na uvivu wako wakufikiria!!!'think big'
 
Asipoteuliwa Zito Kabwe, nitasimama mwenyewe kama mgombea binafsi, katiba itakuwa imepatikana! nimechoka na slogan za ccm, "eti maisha bora kwa kila mtanzania ", sitaki kusikia ccm ten!.
ccm oyeee!
 
Tumechoka kupuuzwa,tumechoka kunyonywa ndani ya nchi hii. Mwaka 2015 by any means lazima rais atoke kanda ya ziwa atakayesimamia raslimali zetu kwa mustakabali wa watu wetu wanaokumbwa na umaskini wa kutisha huku utajiri wa kutisha ukiwazunguka. Tuamke na tuache kufuata mkumbo kwa mambo yasiyo na tija kwetu

We kweli piliton labda ubongo wako size ya piliton
 
Pilitoni=Piriton????
Hata sishangai ukileta mada za kipuuzi?
 
Tumechoka kupuuzwa,tumechoka kunyonywa ndani ya nchi hii. Mwaka 2015 by any means lazima rais atoke kanda ya ziwa atakayesimamia raslimali zetu kwa mustakabali wa watu wetu wanaokumbwa na umaskini wa kutisha huku utajiri wa kutisha ukiwazunguka. Tuamke na tuache kufuata mkumbo kwa mambo yasiyo na tija kwetu

familia yenu lazima itoe rais 2015
 
Tumechoka kupuuzwa,tumechoka kunyonywa ndani ya nchi hii. Mwaka 2015 by any means lazima rais atoke kanda ya ziwa atakayesimamia raslimali zetu kwa mustakabali wa watu wetu wanaokumbwa na umaskini wa kutisha huku utajiri wa kutisha ukiwazunguka. Tuamke na tuache kufuata mkumbo kwa mambo yasiyo na tija kwetu

Nyerere alikuwa anatoka kanda ya ziwa
 
Back
Top Bottom