Meja Jenerali Isamuhyo
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 3,103
- 9,591
Mpambe wa Rais, Kanali Mashauri pichani akiwa amevaa cheo cha kijeshi kinyume na utaratibu. Najua kuna muda sisi binadamu tunajisahau, pengine kwa wingi wa majukumu lakini umakini unahitajika zaidi.
Ni hayo tuu, poti wangu naamini utakuwa umenisoma, nakutakia uchapaji mzuri wa kazi. Wana Mara tunakuaminiaaa
Ni hayo tuu, poti wangu naamini utakuwa umenisoma, nakutakia uchapaji mzuri wa kazi. Wana Mara tunakuaminiaaa