Mchimwachimego
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 358
- 271
Taifa letu kwa sasa kuna uchaguzi lakini kuna jambo ambalo si tu kwamba lakijinga bali ni lakishetani sana, katika mitazamo ya kawaida unaweza ukadhani vijana wamevutishwa bhangi lakini uhalisia ni kwamba shetani ana nguvu sana, kwa tabia ambazo watu hasa vijana wanazionyesha katika mikutano ya lisu ni wazi kwamba haya ni matokeo ya kizazi cha wajinga ,wavivu na maskini wa kifikra.
Vijana na watu walio wengi bado wanaamini katika urais wa kila kitu ni ruksa ili hali hawajui madhara ya taifa la namna hiyo, ukiangalia ushabiki wa wale wafuasi wa lisu ni vitu ambavyo havitaliendeleza taifa ni ujinga tu mtu anawaambia maendeleo ya vitu hayaitajiki huku akilalamikia kunyimwa kivuko,akihaidi kujenga daraja kati ya kisiwa na kisiwa ,treni za mijini NK. Katika mambo yaliniudhi kabisa hawa vijana kushabikia ni vyeti feki, watumishi hewa ,vitambulisho vya machinga , uvuvi haramu , ushoga na mengine mengi ambayo hayawezi kulisaidia taifa kwa wakati huu labda lile la katiba mpya na mfumo wa elimu na japo yapo baadhi ni mazuri .
Watu wengi tunafahamu kwamba vijana walio wengi hawana elimu ya uchambuzi wa hoja wanadhani kwamba lisu atakuja kugawa pesa , hawafaamu kuwa namna atakavyooendesha nchi lisu italeta madhara makubwa kwa taifa hili kwa sababu yeye anataka watu wawe na pesa bila kujali wamepataje, anataka watu wawe huru wafanye watakacho hii nchi itarudi nyuma sana.
Mifano ipo mingi ila tujaribu kuangalia ngazi ya familia : katika familia kama mukiamua kuwa tuishi huru bila kufuatiliana kila mtu atafuraia maisha ila mwisho wa familia hiyo hauwezi kuwa mzuri lazima kuna mengi yataiangamiza.
Tunaitaji mabadiliko lakini si kila mabadiliko yana tija na sio sawa kubadili kiongozi kama nguo vijana badilikeni licha ya kwamba nafahamu kuwa neno ningejua huwa halitangulii.
Vijana na watu walio wengi bado wanaamini katika urais wa kila kitu ni ruksa ili hali hawajui madhara ya taifa la namna hiyo, ukiangalia ushabiki wa wale wafuasi wa lisu ni vitu ambavyo havitaliendeleza taifa ni ujinga tu mtu anawaambia maendeleo ya vitu hayaitajiki huku akilalamikia kunyimwa kivuko,akihaidi kujenga daraja kati ya kisiwa na kisiwa ,treni za mijini NK. Katika mambo yaliniudhi kabisa hawa vijana kushabikia ni vyeti feki, watumishi hewa ,vitambulisho vya machinga , uvuvi haramu , ushoga na mengine mengi ambayo hayawezi kulisaidia taifa kwa wakati huu labda lile la katiba mpya na mfumo wa elimu na japo yapo baadhi ni mazuri .
Watu wengi tunafahamu kwamba vijana walio wengi hawana elimu ya uchambuzi wa hoja wanadhani kwamba lisu atakuja kugawa pesa , hawafaamu kuwa namna atakavyooendesha nchi lisu italeta madhara makubwa kwa taifa hili kwa sababu yeye anataka watu wawe na pesa bila kujali wamepataje, anataka watu wawe huru wafanye watakacho hii nchi itarudi nyuma sana.
Mifano ipo mingi ila tujaribu kuangalia ngazi ya familia : katika familia kama mukiamua kuwa tuishi huru bila kufuatiliana kila mtu atafuraia maisha ila mwisho wa familia hiyo hauwezi kuwa mzuri lazima kuna mengi yataiangamiza.
Tunaitaji mabadiliko lakini si kila mabadiliko yana tija na sio sawa kubadili kiongozi kama nguo vijana badilikeni licha ya kwamba nafahamu kuwa neno ningejua huwa halitangulii.