Unapimaje sasa hizo kmUkitaka kuoa wee angalia gari limetembea kilomiter ngapi. Sio lazima liwe jipya
. Maana mengine yanaendeshwa kwanza viwandani nakubeba mizigo mizitu humo viwandani halafu linapakwa rangi upya. Kikubwa kilomiter zisiwe nyingi kuepuka marwkebisho ya mara kwa mara baada ya kulimiliki.
Chagua kusuka au kunyoa
Kwa sisi ambao hatujawahi kutoa bikra inakuaje sasaMimi nitatoa mahari maana hao niliowatoa bikira sijawaoa sio mbaya ni mimi nikioa waliotolewa na wenzangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo usumbufu ndo raha yenyewe sasaMabikra wasumbufu sana, fungate ya ndoa inaweza geuka ulingo wa moto, afadhari hawa kichupi mkononi mnagegedana mpaka basi[emoji85][emoji85][emoji85]
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kuzugaBikra ni jipu asipotolewa mwanamke mapema litamsumbua tu wakat wa ndoa maana kutakuwa na usumbufu kulitumbua na kulitibia, yeye atumbuliwe tu huko mim sitaki ghasia wakati wa tendo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaaa. Ok, pole.Siku nilidhani we were gonna hang out
Oh yes, ndie aliye nioa na kunitolea mahari.We aliyekutoa bikira unamkumbuka ?
Nimeandika kipi kwa mbwembwe?? Jaribu kuangalia hiyo Quotation halafu uniquote tenaulivyoandika kwa mbwembwe utafikiri wewe unayo? au unafikiri bikra ni kwa wanawake tu?
I wish I could be himOh yes, ndie aliye nioa na kunitolea mahari.
[emoji23] [emoji23]Inasaidia kulipiwa mahari na huyu handsome boy
[emoji23] [emoji23]Watu mliopoteza bikira zenu kipindi cha rais wa awamu ya pili mnatamani kumuua huyu handsome boy
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Umechelewa sana chief, habar ya mahari nimaneno tu. Wajanja tunachukua mkopo kwa dhamana ya nyumba ya baba mkwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Sexless
[emoji23] [emoji23]Naunga mkono na miguu.
Mwanadamu anunuliwi, mahari ni kama pongezi na ufunguo wa kufungulia bikra.
10000%
Wengine mpaka marindaa hawana[emoji23][emoji23]Kumbe watu wengi sio bikira humu [emoji23][emoji23][emoji23]