Kamuambukiza HIV Makusudi

Natekeleza mauaji na kupoteza ushahidi bila polisi kujua nicheck inbox kwa watu wa mikoani weka booking mapema
 
Mfanyie kitu kibaya huyo mwanamke usikubali moja bila...
 
Pole sana kwa kuingia katika grid ya taifa na kuingia katika utaratibu ndio maisha katika hilo sikulaumu nyege hazina adabu
 
Pole sana usikate tamaa kuna maisha baada ya Ukimwi anza dose maisha yaendelee.
 
sio kupina HIV tu hata akili huu nao ugonjwa
 
Ishu ni huyu aliyekuwa anaijua hali yake (alikuwa anatumia dawa) kutomweka waz mwenzi wake.ni uuaji huu.
Una uhakika gani kama jamaa yako alikuwa hana. Huenda huyo dada ameviongezea tu kasi hivyo virusi.

Vv
 
Si useme tu kwamba ni wewe acha kusingizia jamaa yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…