Tanzania Mpya
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 253
- 144
Siwaelewi hawa jamaa wa simu, wanatula hela kwa wizi. Kuna wakati tigo wanatoa ofa ya muda wa maongezi lakini ukipiga simu wanakukata tu kama kawaidia. Airtel nao wana utaratibu wa JIRUSHE, yaani ukijiunga na utaratibu huo wanakukata Sh.400/- ili utume SMS bure siku nzima. Lakini mara nyingine wanakata kila SMS bila kujali kwamba walishachukua 400 mapema. Naona kama vile hawa jamaa wanaiba makusudi sijui? Nani ana experience na mambo haya?