Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 216
- Thread starter
- #21
Ampigie huyo tax driver aje amchukue nyumbani kwenda mahali wakati mkewe akiwepo nyumbani na asimpe nafasi ya kuwasiliana naye. Ikiwezekana atumie namba ambayo mkewe hajui. Atapata majibu yenye kuelekea ukweli.
mkuu, mshikaji anatonya kuwa kishafanya hivyo, ndio maana aligundua kuwa yule jamaa wala si tax diver wala nini bali hawara tu kwani alisema kila alipompigia alizuga kuwa yuko mbali na ajaribu axi nyingine!!!
ni kwamba kwa vile hawana mipaka ya simu na wife ndio wife akamseve kma taxi driver ili mzee akikutana na no hiyo asishtukie dili.